Huyu kanichosha

Huyu kanichosha

Nshafeli ila atapaa kwenda kwao[emoji3321][emoji3319]
Umuleavyo ndivyo akuwavyo,chanzo cha yote hayo ni wewe,lazima usimame kama baba sio unasema umeoa alafu unakuwa na akili za kivulana,,
Anashinda na simu kwenye mitandao ya kijamii,ni kwa vile umemuwekea wafanyakazi wa kufanya kila kitu,
Anachukua fedha bila idhini yako na kufanya matumizi,ni kwa kuwa huna kauli juu take,
Anakunyima papa ni kwa kuwa amekucontrol,
Zaidi badilika kuwa mwanaume ili nae ajue nina mwanaume sio mvulana
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kitunze kidumu mkuu
Duuh, huyu wangu sitakaa nimuache ng'oooo! Nimegundua wa kwangu ni mke mwema saaaaana,.. Nikisoma maisha ya ndoa ya watu na visanga vyao... Namshukuru Mungu kwa mke alonipa... Hakika nimepata mke haswaaaa... Pole yako.
 
Huyo pichani ndo mkeo au huo Ni mfano tu
Sorry kwa kutoka nje ya maada chief
Mambo Kama haya ndo maana dakika ya mwisho nasemaga sitakuja h kuoa nitaishi single Kama yesu masiah.mbona hakuwa hata na uhusiano na mwanamke Wala hakujibebesha majukumu lakini amekufa akiwa most succesfull man in the history.
Una uhakika Yesu hakuwa na mahusiano ya kimapenzi. Au na wewe upo kwenye kundi la waliochakachuliwa?
 
😂😂😂😂😂😂
Huyooooo ni chaguo lakoo🎼🎶🎵🎶🎼🎼🎵
Ukiona kiwili wili kinayumba basi tambua kichwa cha familia kimejaa kamasi na sio ubongo. Tumia akili.
 
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji19][emoji19][emoji19]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyooooo ni chaguo lakoo[emoji443][emoji445][emoji444][emoji445][emoji443][emoji443][emoji444]
Ukiona kiwili wili kinayumba basi tambua kichwa cha familia kimejaa kamasi na sio ubongo. Tumia akili.

Kwendraaaaaaaa[emoji34][emoji34][emoji34]
 
huyo ulimwendekeza,ndo maana kakosa kazi za kufanya anaona aishi kwenye mitandoa ya kijamii mpk akili imelemaa,huyo hizo kazi wanazofanya maid angetakiwa afanye yy ikiwezngana mweke mmoja tu anatosha,
Yaana ntamyoosha
 
Mkuu pole sana, uyo mkeo hana uchungu na jasho lako kabisa kwa iyo hawezi kujali pesa zako so siwezi kukwambia muachane la asha! Wewe mtu mzima yapasa kuchukua maamuzi magumu juu ya ustaw wa uchumi wako
 
...and this is where shit always begins!

Yeye anapenda mitandao...wewe huku umekuja na ishu ya chumbani kwako ili nini kwa mfano!

Viumbe wa zama hizi wote Ke na Me akili zenu pumba tupu wote. Your personal life has nothing to do with public! Mtu mzima wa umri wako kama umeshindwa kufanya maamuzi ya maisha yako binafsi unategemea public ikupe opinion una matatizo na ndo maana mnakutana na mnaofanana kwa upuuzi!

Waliosema hii chai umeweka majani, iliki na mchaichai hawajakosea tena hukuacha ichemke vizuri.

Na uendelee kupambana na hali yako manake hakuna namna.

Shubaaaamiiitt!!!
 
Nenda kijijini kwenu katafute mke huyo uliyenae atakuja kukuwekea sumu maana sio wife material Hata kidogo
 
Mkuu piga utaushia kulalamika na vikao visivyoisha..mwanamke bila kelebu haendi.
 
Back
Top Bottom