Huyu kanichosha

Pole sana mkuu,ila itoshe kusema ukiona kwa mkeo leo ni matokeo ya ulichokitengeneza wewe mwenyewe mwanzo wa mahusiano yenu,kwa hakika yawezekana ulifanya kwa kujua au kutokujua ,ila ukweli ni kuwa pengine ulianza kwa kumdekeza kwa kumpa kila apendacho ikiwemo pesa,na yawezekana ulinyimwa unyumba na ukaishia kumbembeleza japo hukuwa na kosa na hivyo yeye akageuza fimbo ya kukuadhibu kwa kukunyima tendo kila atakapohisi umemkwaza,ulianza kwa kumuwekea wasaidizi wawili sasa kwa nini asishinde fb?
Hivyo nakushauri usimuache bali onesha misimamo kama mwanaume,maana ungekuwa na misimamo thabiti asingechukua pesa na kwenda kununua zawadi ya rafiki yake,jitathimini mkuu na uchukue hatua
 
Nikifikiria talaka huwa nafiriia watoto wangu wataishi maisha ya vipi bila Mimi nakuwa napata jibu LA msamaha!
 
Wanaishi kizungu yeye na mke wake.
Leo ndio nmeelewa kwa nini baadhi ya wanaume imefikia wanapotaka kutoa pesa kwenye mfuko wa suruali wanawaambia wake zao wasogee pembeni ili wasione kinachotoka.
 
Issue ya ndoa ilinishinda kwakwel now ni single father na nitaishi ivi daima
 
Ningekuwa mimi wala ushauri wa mtu nisingetaka. Vile sipendagi ujinga, Ee Mungu nisaidie mja wako.
 
Brother pole Ila case yako inahitaji msaada wakiroho,Mpe likizo kidogo akajifunze kwao,
 
Mkuu,nadhani ukizaa namwanamke anakua kama kakuroga dizaini flani,hata mm binafsi hyo Hali yakhurumia mwanamke wakati unajua fika huyu nijipu,nakwamba Hana dalili zakubadilika zipo mwanamke wapwani huko Lindi,mkigombana ndani kesi unasuluhishwa namtaa , makelele ndani hayaishi ,kushika simu mara ugomvi wakuamliwa namajirani nawananchi yaan loh,Ila ukifikiria juu yamtoto unaamua kuyamaliza Ila,huruma zetu wanaume zinatuponza Sana kuendelea kulea Majipu
 
Nice advice big up,
 
Duuh, huyu wangu sitakaa nimuache ng'oooo! Nimegundua wa kwangu ni mke mwema saaaaana,.. Nikisoma maisha ya ndoa ya watu na visanga vyao... Namshukuru Mungu kwa mke alonipa... Hakika nimepata mke haswaaaa... Pole yako.
Mkuu tupe vionjo unavyopewa ili nasisi tuone niladha zipi niadimu unapata
 
Hali pa kuchukua Hela yako na kwenda kufanyia Manunuzi ya zawadi za Kitchen Party ilikuwa ndio Tiketi yake ya Kuondokea Mkuu!
Ninashaa bado yupo na Unakuja humu kutaka Ushauri!
 
Hali pa kuchukua Hela yako na kwenda kufanyia Manunuzi ya zawadi za Kitchen Party ilikuwa ndio Tiketi yake ya Kuondokea Mkuu!
Ninashaa bado yupo na Unakuja humu kutaka Ushauri!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] umri hufanya maamuzi ya busara kidogo sio hasira na haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…