Juzi nimepishana na mzee wa upako mlimani city yupo njwiiiHata sisi wachungaji wenu tunatafuta hrla tu
Mkuu kwann umechagua kuwaumiza wenzako kihisia na kiroho. Utaki wabarikiwe ?
TUSEMEZANE - BY BAHATI BUKUKUNyimbo za kukemea dhambi kama zipi?
Me sipendi ...yaan sijui kwa nini anakuwa hivikiukweli huyu jamaa yupo vizuri sana katika uimbaji BUT WHY ANAKUA NA SWAGA ZA KIKE!? mapozi kama dem, kurembua kama dem, kuramba midomo kama dem, nyusi kama dem n.k
Kwa hiyo ile siyo ongea yake? Maana me kusema ukweli ananikeraHio si ni effect ya studio, inaitwa "auto tune" inaremba sauti tu ila sometime ikizidi ndio inakera!
Mkuu yaani nilivyosoma title kabla sijafungua uzi nikaanza kuimba huu wimbo nashangaa na wewe umeuweka huo. Hakuna wimbo wa Goodluck unanibariki kama huu, unafuatiwa na ule wa shukurani
Sio yake mkuu, ni computer ndio inamfanya hivyoKwa hiyo ile siyo ongea yake? Maana me kusema ukweli ananikera
Kuna nyimbo na uimbaji flani badala ya kukufanya ufurahi au uwaze starehe unajikuta unakuwa calm na kuanza kutafakari neno na uwezo wa Mungu.Wabarikiwe na nani?
Hii kuimba,kuigiza,etc ni Kwa ajili ya human enjoyment kama enjoyment we all get from other things like sex,cocaine,alcohol,TV,instagram,porn,etc...
Sasa kama una-confuse human enjoyment na kubarikiwa I really cant help but wonder!
Anjifananisha na DiamondMe napenda nyimbo zake ila kuna style fulani hivi anaongea siipendi kabisa..in short sielewi kwa nn anaongea hivo yaan mkenya si mkenya dah...apunguze
Kuna nyimbo na uimbaji flani badala ya kukufanya ufurahi au uwaze starehe unajikuta unakuwa calm na kuanza kutafakari neno na uwezo wa Mungu.
Mfano nyimbo za kuabudu hasa tenzi za rohoni, uimbaji wake na mapigo haukufanyi ufurahi uruke ruke unakufanya utafakari neno baada ya neno.
Hata huo wimbo mimi kuna muda nakuwaka na issues ambazo nawaza God why me, lakini nikiusikiliza ndipo naona Mungu kanitendea mengi mema kusema why me ni sawa na kukufuru.
Hivi hizi akili za kusema unapata baraka kwa kusikiliza nyimbo za gospel zimeletwa na nani ?
Sasa hao si old school, msiwasikilize wasafi basi na kina shetta kwa maana hawana nyimbo kama za nature na feruzi
Yote hayo yanatokea kwa kuwa ni Muumbaji aliyoumba mwili ufanye hivyo. Hata ukisali Ukiswali, ile kuongea na kutoa sauti au kuinama na kuinuka siyo Mungu anayefanya hivyo moja kwa moja ni mfumo wa fahamu unao control misuli yako ifanye vile lakini bado tunasema mahali hapa na yanayofanyika kuna uwepo wa Mungu.Nakuelewa,ila naomba uelewe kitu kimoja:
Chemical iliyopo mwilini inayofanya ujisikie raha au huzuni ni ya aina moja inaitwa Dopamine!
Dopemine gives you the emotions of happiness,sadness,etc
Dopamine is an organic chemical of the catecholamine and phenethylamine families that plays several important roles in the brain and body,it is a neurotransmitter and precursor of other substances in the body including adrenaline!
Unaposikiliza muziki au unapokula cocaine unafurahi na kurukaruka au unahuzunika na kutoa machozi na kutetemeka sio mungu anafanya lolote,ni reaction ya dopamine!
Hakuna uwepo wa Mungu au eti upako and some shit like that!
Na ikizidi sana unafadhaika na unaweza kwenda into a coma kama mla unga yoyote!
Kama ule wa Masanja, kemea pepoooooNyimbo za kukemea dhambi kama zipi?
Pombe inaongeza urefu wa fikra pevuJuzi nimepishana na mzee wa upako mlimani city yupo njwiii
Naungana na wewe bwana mdogoWabarikiwe na nani?
Hii kuimba,kuigiza,etc ni Kwa ajili ya human enjoyment kama enjoyment we all get from other things like sex,cocaine,alcohol,TV,instagram,porn,etc...
Sasa kama una-confuse human enjoyment na kubarikiwa I really cant help but wonder!
Yote hayo yanatokea kwa kuwa ni Muumbaji aliyoumba mwili ufanye hivyo. Hata ukisali Ukiswali, ile kuongea na kutoa sauti au kuinama na kuinuka siyo Mungu anayefanya hivyo moja kwa moja ni mfumo wa fahamu unao control misuli yako ifanye vile lakini bado tunasema mahali hapa na yanayofanyika kuna uwepo wa Mungu.
Au wewe ni mtu usiye amini uwepo wa Mungu? Kama ndiyo basi hapo siwezi pinga hoja yako kwakuwa huwezi mwaminisha mtu kwa kutumia ushahidi asiyo uamini.
Nimejikuta nacheka baada ya kusoma jibu lako maana linafikirisha nyie wakina Kiranga mnakuwa na akili kubwa katika ku argue.Hahahahahaha
Kama Mungu anasimamia kila kitu kwenye mwili wako mpaka ubongo,mawazo,etc ni kazi ya Mungu...
Na ukitukana pia ni kazi ya mungu maana umetumia ubongo,ni chemical reactions ndani ya ubongo wako ambapo mungu ndio anasimamia ikatoa jibu tukana au ua huyu..
Ikifika hapo utamtoa mungu utaanza kumsingizia kua ni shetani,hivyo kumbe mungu sio kila wakati yupo mwilini mwako akiendesha vitu?!!!
Wapenda Mungu mna vituko sana.....Kibaya mnamsingizia shetani,kizuri mnamsingizia Mungu....hivi sijui mpojee aisee!