Huyu kijana nitamsaidiaje apate ajira?


Kiranga,

Huyu kijana kama asingeleta hiyo barua angekuwa na ma vyeti yake mimi ningeona ni kawaida tu ningemsongesha front. Nashukuru ameandika hiyo barua nimepata kufahamu zaidi.
 
huyo anafafanana sana na zinduna binti aliyehojiwa na clouds tv anaulizwa kama umemaliza form 4 ulifanyia mtihani masomo mangapi? eti anajibu manne na alazimisha kabisa.mkuu huyo mtu atavuruga heshima yako

Aisee hapo umenena...
 
Duh!! Luck is when opportunity meets quality and qualification. Granted, the young man is lucky to have you as a referee. But I just cant imagine a University graduate writing such a nauseating English!!!

Mkuu,

Nadhani kuna haja ya kuangalia upya tuamue kama ni kiswahili ama kingereza. Inawezekana yakawa kama yale ya haki elimu labda ningemwambia aandike barua hii hii kwa kiswahili ningekutana na kiswahili maridhawa kabisa. Lakini sitashangaa kama huyu kijana ame graduate kweli , sasa swali linakuja hao walimu wake vp?
 

NasDaz,

Huyu nadhani hata JF haingii maana angekuwa mtu wa dizaini hiyo ingemsaidia kidogo kukuza kiwango.
 
wonders shall never end.. kama kuna uwezekano wakumsaidia msaidie.
 

Mkuu wangu Maundumula,
There's no way kwamba a university graduate anaweza kuwa na kiingereza kibovu kama hicho.....i repeat; there's no way!! Count on my word; huyo mtu anajua anachofanya; kuweni makini hapo....isije ikawa ametumwa huyo!! Wengi wetu tuna Viingereza vibovu; lakini si vya staili hiyo especially kwa graduate hata kama alikuwa ni full madesa a.k.a Symb kama tulivyokuwa tunaita SUA!! Hivi ni graduate wa aina gani katika karne hii ambae hata kufahamu hafahamu kwamba ukiingia net anapata a well structured job application letter?! hivi ni graduate gani huyo asiyefahamu hata kuandika kwa usahihi jina la shahada yake? Come on chuck, Open up ur eyes! Kiingereza hicho ni ama cha primary school leaver or completely form four failure tena wa shule za kata za vijijini!!! Jambo la kujiuliza, ni kwamba ni wapi huyo mtu ametoa ujasiri wa kujifanya ni graduate; tena katika taaluma isiyohitaji nguvu bali weledi?! Hebu angalia hizo sentensi zake mbili za mwisho [Please Sir I beg you to accept my application. Im confident I will perform well if my application will be considered]Hivi huoni kuna tofauti kubwa sana hapo kati ya hizo sentensi zilizo kwenye mabano na sehemu iliyobaki ya barua yenyewe?! Mtu ambae anavunja kiingereza kiasi hicho asingeweza kuandika sentensi hizo mbili za mwisho kwa staili hiyo! Ukiniuliza abt the last two sentences, i can simply tell u kwamba hapo alishajisahau kwamba alitakiwa kuonesha kwamba ana kiingereza kibovu kupita kiasi!
 
Jamari Mbona Mimi hzi chance sizipati.?ama Kweli Kwenye miti hakuna wajenzi
Mimi nakushauri acha nae Kabisa kwa sababu Kama Kweli ni graduate hajui kuandika barua basi utandawazi angegoogle akili ya kawaida tu haihitaji elimu
 
NasDaz,

Mimi nilifikiri hizo sentensi mbili za mwisho labda ndio aliomba msaada mtu amuandikie? au pengine aliona barua mahali imeandikwa imemaliza kwa staili hiyo aka copy paste.
 

kuna ishu nmekupm ndugu km vp icheki kwanza.
 

Piga chini, stick to the point kwamba wanataka degree zake la sivyo sorry! Kuna chuo kikuu kweli hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…