Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
- Thread starter
-
- #21
Kiingereza ni janga la taifa, kama kazi yenyewe itahusisha kiingereza hiyo barua tu mushkeli, achilia mbali hivyo vyeti.
Na hapa linaweza likawa suala kubwa zaidi ya Kiingereza.
Maana inaonekana ama hajui kama Kiingereza chake cha kuunga unga, ama anajua lakini kakosa hata akili ya kutafuta mtu (au hata computer) kufanya spellchecking and grammar correction, au anajua lakini ni mlipuaji.
Lakini labda ni kitu cha kawaida bongo mpaka kinazoeleka.Hata wewe mwenyewe mkuu umetaja vyeti tu hujataja hili kama issue (unless kuonyesha barua ilivyoandikwa ndo una solicit input).
Alikuja jioni kisomo mwingine earlier today anatafuta scholarship ya masters degree in Education na madubwana kochokocho.
Nikamwambia kwa kiingereza hiki bora tafuta scholarship ya English course kwanza.
Kiranga,
Huyu kijana kama asingeleta hiyo barua angekuwa na ma vyeti yake mimi ningeona ni kawaida tu ningemsongesha front. Nashukuru ameandika hiyo barua nimepata kufahamu zaidi.