Huyu kiongozi tusishangae akiondoka

Huyu kiongozi tusishangae akiondoka

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
1737563934392.png
1737564584132.png


Hawa ni wale viongozi wasioweza kukaa bila madaraka. Ni target ya CCM kama Msigwa. Hakuchaguliwa kwenye uongozi mpya. Mke wake ni Covid 19. Huyu mwingine anatumiwa na CCM

Salimu mwalimu wanaweza kumnunua lakini kwa dau kubwa sana. Mwalimu pia anaweza kwenda ACT Zanzibar wakampa cheo kule au Mbowe akamuingiza kwenye biashara zake maana ni marafiki wakubwa
 
Huyu alikua mtu wa kazi ila sijui alipatwa na nini akaingia tamaa ya pesa akasahau harakati
 
Back
Top Bottom