Huyu kocha anajitahidi sana kujivua lawama wadau wa michezo tushamsoma

Huyu kocha anajitahidi sana kujivua lawama wadau wa michezo tushamsoma

Wasalaam wana jamvi,leo nimeamua tumuangalie kocha wa Yanga SC,Mkongomani Mwinyi Zahera(Papaa)

Huyu Mwalimu mwanzoni alionekana ni mtu anayejielewa na mwenye uwezo mkubwa wa kuunganisha timu yaani muwe wamoja kwa hilo nampa kongole sana amejitahidi kuleta umoja miongoni mwa wachezaji lakini pia hata kwa mashabiki wa Yanga Sc

Lakini Mwalimu huyu pale mambo yanapomuendea kombo amekuwa mjanja sana kwa kujivua lawama machoni kwa wana Yanga na wadau wa soka hapa nchini

Nakumbuka kuna mechi mambo yanapokwenda kombo hulalamikia wachezaji wake hadharani,Michango ya mashabiki,Viongozi,Ratiba,Viwanja na bodi ya ligi tena kama hii sababu ya mwisho hata jana wakati anahojiwa kuhusu kajiandaaje na mchezo ghafla akaanza kulaumu bodi ya ligi kama vile nj Yanga pekee ndio waliokuwa wanacheza saa 8 mchana.Azam media walipoona mzee wa gubu kaanza kubwabwaja tu wakamkatisha wakarudi studio

Ushauri wangu ni sina shaka na uwezo wa Mwinyi lakini lazima akubali kwa sasa Yanga haipo kwenye mzani mmoja na Simba siamini kama anatakiwa kulia sana ili watu tumuelewe kwamba hausiki na matokeo mabaya ya Yanga.Watanzania hatuwezi muhukumu kwa wakati huu.

Karibuni wana jamvi
Ameona yanga kumejaa mazezeta tu
 
zahera anasema kweli tff wanaibeba sana simba. kwanza marefa wanaochezesha mechi za simba wanaonyesha upendeleo wa wazi kabisa huku yanga wakiminywa ili wasipate ushindi huu ni uonevu

Zile mechi kumi uwanja wa Taifa nazo mmesahau fadhira za Tff.

Embu changieni team yenu
 
Bado wanashinda kimagumashi magumashi, shit H
Simba mwaka huu ni wao ila kwa hali iliyoko Yanga ndo ingekuwa iko Simba basi Simba wangeshuka daraja!
Pesa ipo Simba wachezaji wazuri na muwekezaji mkubwa sana tu lakini bado ushindi kwa mbinde!!
 
Leo kalalamika tena kwamba kwanini mechi ya Simba na kagera imepangwa saa kumi na siyo saa nane
 
Waambie hivi pamoja na kushiriki kwao yanga iliambulia points 3 mnyama mara moja points 15 wakowapi watz wenye asili ya nchi nyingine wako wapi lavyu.

China nyama ya mbwa inathamani kubwa na huliwa kipindi cha baridi ili mwili upate joto lipuli walikula mbwa ndo maana misuli haikusumbua wakawa na nguvu nyingi za kiume.

Wazee wa morogoro wakikupa dawa za nguvu za kiume hukupa pia dawa za kutibu ngiri ugonjwa usababishwao na baridi lavyu walipata ngiri sababu ya baridi na lipuli hawakupata baridi hivyo nguvu zao zilikuwa juu wakawapiga viwili matipwapwa tetema

Mo amewekeza Simba mwaka wa ngapi huu??
Kabla ya Mo Simba imewahi kushuka daraja??
Toka Manji amwage Pesa zake Yanga timu imewahi kugusa ROBO au Makundi CCL??
JIBU HAYA TWENDE SAWA.
 
Waambie hivi pamoja na kushiriki kwao yanga iliambulia points 3 mnyama mara moja points 15 wakowapi watz wenye asili ya nchi nyingine wako wapi lavyu.
China nyama ya mbwa inathamani kubwa na huliwa kipindi cha baridi ili mwili upate joto lipuli walikula mbwa ndo maana misuli haikusumbua wakawa na nguvu nyingi za kiume.
Wazee wa morogoro wakikupa dawa za nguvu za kiume hukupa pia dawa za kutibu ngiri ugonjwa usababishwao na baridi lavyu walipata ngiri sababu ya baridi na lipuli hawakupata baridi hivyo nguvu zao zilikuwa juu wakawapiga viwili matipwapwa tetema
Hawana jipya.. kocha wao anasema malengo yao ilikuwa kumaliza wa 6/7 kwenye ligi, ,kwa hiyo kuwa wa pili wamevuka malengo na ndio mafanikio yao season hii.
 
halafu jamaa anavuta sana sigara nyota na anakunywa sana gongo..... angalia midomo yake.
 
Shida ya limbwata uliyepewa unaona uko mzima lakini hasiyepewa anakuwa anakuhurumia nadhani ndicho alichofanya zahera kwa timu ya yanga
 
Back
Top Bottom