K KakaNanii JF-Expert Member Joined Sep 28, 2008 Posts 325 Reaction score 52 Oct 18, 2010 #1 Ingekuwa ni hapa bongo , pangechimbika ! Muone huyo kocha vidole vyake vinavyofanya !!!! Attachments JAPAN-JAMII.jpg 59.6 KB · Views: 214
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,041 Oct 18, 2010 #2 Huyu si kocha!bali ni...................................
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Oct 18, 2010 #3 Kibaya waliolala wote wanawake duh jamani ninyi wenye wake zenu timu za taifa waombeen sana haya ni moja ya majaribu live na akishindwa anakukata jina akiwa kwenye kawaha...loh
Kibaya waliolala wote wanawake duh jamani ninyi wenye wake zenu timu za taifa waombeen sana haya ni moja ya majaribu live na akishindwa anakukata jina akiwa kwenye kawaha...loh
B Babuyao JF-Expert Member Joined Jun 6, 2009 Posts 1,741 Reaction score 272 Oct 18, 2010 #4 Nimecheka sana kama mwehu! Sina hamu! Duh!
TzPride JF-Expert Member Joined Nov 2, 2006 Posts 2,616 Reaction score 1,169 Oct 18, 2010 #5 Hivi amekosa pa kushika penginine mpaka atiamo mkono?! Anyaway, kila mtu hula mezani kwake
boma2000 JF-Expert Member Joined Oct 18, 2009 Posts 3,279 Reaction score 310 Oct 18, 2010 #6 Hamna raha maana hapo ni kama anafanya makusudi kuwatomasa kwa kisingizio cha mazoezi, ila wako 'fit' sana
Hamna raha maana hapo ni kama anafanya makusudi kuwatomasa kwa kisingizio cha mazoezi, ila wako 'fit' sana