LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,320
- 6,686
Kuna habari ina`trend mitandaoni kuwa linex eti alipigiwa simu na Dj Khaleed na sifa kibao,hasa mpya za town inasemekana kuna hotel inaitwa KIBONA HOTEL huko mikocheni,anadaiwa hela mbuzi sijui laki 9 na ushee kujifanya kukaa hotel kumbe hana hata mia na kusababisha wahudumu kufukuzwa kazi,hivi hawa mastaa mbuzi wa bongo kwanini wanatutia aibu?
kwanini ni watu wa kutaka sifa wakati hawana kitu?
kwanini ni watu wa kutaka sifa wakati hawana kitu?