Yaani .. ni vituko " Mimi umenishinda mkuu .. huwa na elimika na kuhabarika hapa hapa Jf... Jf ndio chanzo changu kikuu cha habari ...Nimejiunga na huo mtandao hivi juzi ila niliamua kufollow page za michezo tu na watu wa michezo na habari.
Huo mtandao una watu wa ajabu sana.
Ilianzia kwenye ile picha ya Iringa na Gigy
Naona ataonesha
Yaani ule mtandao kama akili hazikamatani vizuri unaweza kujikuta unaambukizwa upumbavu.Yaani .. ni vituko " Mimi umenishinda mkuu .. huwa na elimika na kuhabarika hapa hapa Jf... Jf ndio chanzo changu kikuu cha habari ...
Huwa napita bbcswahili na Dw .basi ..huko kwengine hapana
Namimi niliamua kufanya hivyo baada ya kuona naanza kutoka nje ya mstari taratibu ... mara niangalie mange kapost nini .. mara sijui diamond .. nikashtuka nikaona huu ni ungese .. nikapiga u-turn yakufa mtu nikiifutilia mbali app yenyewe ili nisiweze kukanyaga tenaYaani ule mtandao kama akili hazikamatani vizuri unaweza kujikuta unaambukizwa upumbavu.
Ni mtandao wa kijinga sana.
Namimi niliamua kufanya hivyo baada ya kuona naanza kutoka nje ya mstari taratibu ... mara niangalie mange kapost nini .. mara sijui diamond .. nikashtuka nikaona huu ni ungese .. nikapiga u-turn yakufa mtu nikiifutilia mbali app yenyewe ili nisiweze kukanyaga tena
Kama unaweza kuji-control hakuna mbaya chief .. muhimu ni kujitambua tuKazi yangu ilinilazimu kuwa na account huko ila nilifollow watu wenye haiba na majukumu yangu tu.
Hata leo nipate notification amanifollow Diamond naignore, maana unapomkaribisha anakuja na wapuuzi kama 300.
Huyu Anaweza akawa anakula madawa ya kulevya sasa...Laana ya Muumba ni mbaya bora ya wazazi mbwembwe nyiiiingi hawajifunzi waliopita kabla yao Leo Masogange yupo wapi alikuwa hivi na hakutegemea kama mwaka huu asingeumaliza lkn Leo ni mwenye kujibu juu ya yale aliyoyatenda tujiandae tu ni wapitaji sisi.
weka kwanza tako la mkeo...
Ulifanya maamuzi magumu na ya busara sana.Namimi niliamua kufanya hivyo baada ya kuona naanza kutoka nje ya mstari taratibu ... mara niangalie mange kapost nini .. mara sijui diamond .. nikashtuka nikaona huu ni ungese .. nikapiga u-turn yakufa mtu nikiifutilia mbali app yenyewe ili nisiweze kukanyaga tena
hahahaa hii itakuwa hauja post wewe mkuu ... Au acc yako imekwapuliwa !!?halafu atatokea mjinga mjinga atakuambia Linah anawaaribia watoto zao
kuhusu hivyo vichupi hiyo ni fashion mjini kwa sasa, BASATA inasubiri Wema na Diamond wafanye ndo wawafungie upuuzi mtupu