naaam mkuu. " ukiendekeza nafsi sana hakuwahii kupotea .. mbaya zaidi unapotea huku bado unajiona uko sahihiUlifanya maamuzi magumu na ya busara sana.
Huyu mi namfollow coz napenda nyimbo zake...ila anaanza kutoka mstarini.
wazazi wa siku hizi wa mjini hata hawa aminiki " waweza kukuta wamesha tafunanaHivi inawezekana na wazazi wake wanatizama picha hizi...!??
Mungu aturehemu.
Mamaeeeeeeee,ha ha ha ha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kumbe anapambana na fans wake! Je wakisema hana kisim atawaonesha! [emoji15] [emoji15]
😀😀😀 watu mna maswali yasiyotarajiwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kumbe anapambana na fans wake! Je wakisema hana kisim atawaonesha! [emoji15] [emoji15]
😀😀😀 watu mna maswali yasiyotarajiwa
wewe mbona umetizama,Hivi inawezekana na wazazi wake wanatizama picha hizi...!??
Mungu aturehemu.
Yes, tena utoke nduki, lakini ukaiangalia, ukaizoom ukaona haitoshi ukaibeba na kuishusha huku.... umesaidia kueneza maovu kama ni dhambi hapo mnapigiana pasu kwa pasu.Sasa ulitaka nifumbe macho!!!??
Hakika mkuu....[emoji3]Inabidi ujiulize maswali magumu mkuu!
Naona unahofia za mitandaoni wakati tunapishana nazo kila siku mitaani...Si ya kawaida mkuu... AmeshAifuta. Ingekuwa ya kawaida angeiachA. Bila shaka alipost akiwa tungi.
ndo kwanza nawasha simu tangu niamke vp kuna habari gani??hahahaa hii itakuwa hauja post wewe mkuu ... Au acc yako imekwapuliwa !!?
Kumbe tupo wengi tusiotumia kabisa huo mtandaoHahaa ..mimi ndio maana nili unstore hiyo app ... ukiwa member wa huo mtandao mawazo yako yanakuwa yana waza kutiana tiana tu ..all time ..
Kama kipindi kile kabla TCRA hawajaja na sheria za mitandaoni ..ili kuwa ukifungua tu mtandao unakutana na makalio makalio na K za kutosha zilizoachwa wazi zilifichwa kwenye thong yaani full vurugu na vurumai