pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Mfuate Instagram utapata namba yakeJamani mwenye namba zake (linasanga) anitumie inbobo
..Duu kamwagwa?...Stress za kuachws
Hapo basata inahusikaje kwani ni jukwaani ,redion au tv ,mbona mamiss wanavaa hadi bikini majukwaani chini ya basataWaswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...
Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
Lo! Umenifikisha mbali sana mkuu.Laana ya Muumba ni mbaya bora ya wazazi mbwembwe nyiiiingi hawajifunzi waliopita kabla yao Leo Masogange yupo wapi alikuwa hivi na hakutegemea kama mwaka huu asingeumaliza lkn Leo ni mwenye kujibu juu ya yale aliyoyatenda tujiandae tu ni wapitaji sisi.
Bora niendelee kufanya biashara yng ya kuuza nyanya na baba jak,halafu ina lipa sana !Msichokijua tu " ni kwamba ile biashara ya madada wa mjini kujiuza badoo ..sasa imehamia INSTA na whatsapp ...
So msishangae Sana " watu wapo sokoni wakijinadi kwaajili ya biashara zao
Haa haa you see !!?Bora niendelee kufanya biashara yng ya kuuza nyanya na baba jak,halafu ina lipa sana !
ndio mkuu
Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...
Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
Mambo binafsi,hayo,je asingekuwa mwanamuziki na afanye hivyo utafanyeje,mwache aonyeshe kishimundu chake bana.Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...
Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
AhahahahaHakuna cha ajabu hapo...kama kuna mtu mwanae kaaribikiwa kisa hiyo picha basi afanye anajikuna [emoji3][emoji3]
Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...
Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
Afu huyu dada nam feel kinoma, nilikuwa namtafuta nimweleze hisia zangu...Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...
Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565