Huyu Linnah Sanga amekumbwa na nini!?

Huyu Linnah Sanga amekumbwa na nini!?

Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...

Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
Hapo basata inahusikaje kwani ni jukwaani ,redion au tv ,mbona mamiss wanavaa hadi bikini majukwaani chini ya basata
 
Laana ya Muumba ni mbaya bora ya wazazi mbwembwe nyiiiingi hawajifunzi waliopita kabla yao Leo Masogange yupo wapi alikuwa hivi na hakutegemea kama mwaka huu asingeumaliza lkn Leo ni mwenye kujibu juu ya yale aliyoyatenda tujiandae tu ni wapitaji sisi.
Lo! Umenifikisha mbali sana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mnatulingishia matako hata sisi tunayo sema yetu makavu kama ya ngedere
 
Msichokijua tu " ni kwamba ile biashara ya madada wa mjini kujiuza badoo ..sasa imehamia INSTA na whatsapp ...

So msishangae Sana " watu wapo sokoni wakijinadi kwaajili ya biashara zao
Bora niendelee kufanya biashara yng ya kuuza nyanya na baba jak,halafu ina lipa sana !
 
Acha ushamba, huoni kwamba Kuna Beach Kidimbwi mbele yake?
Au ulitaka aogelee na baibui?
Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...

Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
 
Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...

Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
Mambo binafsi,hayo,je asingekuwa mwanamuziki na afanye hivyo utafanyeje,mwache aonyeshe kishimundu chake bana.
 
Katika watanzania wa 4 wanaume watatu wameongeza umri wa kuishi kwa kutazama picha hii!
 
Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...

Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565

Screenshot_20211008-140610_Samsung Internet.jpg
 
Waswahili husema maumivu ya kichwa huanza pooole poleee...

Huyu dada alianza pole pole.. Ila kwa vile anaendelea kujivinia malikes na mafollowers sasa anakoelea au alikofika ni extreme. Nawauliza hawa BASATA ....na vyombo husika.. Wengine ni sahihi kufanya uchafu na wengine si sahihi.!?
Hii picha mbona ni mbaya sana.
View attachment 977565
Afu huyu dada nam feel kinoma, nilikuwa namtafuta nimweleze hisia zangu...
Linnah!!
 
Back
Top Bottom