Huyu Loydemich ni nani hapa mjini? Anafanya kazi gani?

Ila huyo mwanadada anachokifanya mjini hakitamuacha salama. Laana ya Mungu hataikwepa. Wanaharibu sana jamii hawa.. kwa kupenda kwao waishi vizuri huku watoto wa watu wanazidi kuharibika.
 
Huyu Aloyce Michael alisoma shule ya msingi Victoria kabla ya kuhamia maeneo ya Boko?

Kama ni huyu aisee tangu primary jamaa alikua na urafiki na wadada
 
Huyu Aloyce Michael alisoma shule ya msingi Victoria kabla ya kuhamia maeneo ya Boko?

Kama ni huyu aisee tangu primary jamaa alikua na urafiki na wadada
Aisee..! Sec kasoma wapi?
 
Sio mavazi tu mkuu, cheki mguu unavyong'aa. Hawa utawakuta na vipensi vyao wamekaa wanaoshwa miguu, anakatwa kucha na kupakwa mafuta mpaka mapajani.
Halafu pembeni anakunywa zake windhok [emoji23] kwa pembeni,utamwambia nin mwanaume wa hivyo
 
Huyo hana maisha yoyote ni mbeba handbags za uwoya na mtafutiaji WA uwoya mabwana wapya..
zaidi ya kupiga picha hotelini Hana lolote huyo mwalugani(jina lake halisi) ..
Pia inasemekana ni mchicha mwiba

Kuna mwamba hapo jula [emoji121][emoji121] ameandika jina lake halisi anaitwa Mwalugani
 
Huyu mtoto ni wa ndikumana au huyu jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…