coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,264
- 2,676
Unakulaje mchicha mwibaMichicha mingine huliwa pia huweza kula kabisa yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakulaje mchicha mwibaMichicha mingine huliwa pia huweza kula kabisa yani
Kweli mbongo mpe picha tuHuyo hana rinda hata moja,labda kabakiza nguvu ya kusukuma kimba
KweriMavazi mengine wanaume hayatufai
Sio mavazi tu mkuu, cheki mguu unavyong'aa. Hawa utawakuta na vipensi vyao wamekaa wanaoshwa miguu, anakatwa kucha na kupakwa mafuta mpaka mapajani.Watu wa dar mavazi yenu hayo
[emoji1787]Sio mavazi tu mkuu, cheki mguu unavyong'aa. Hawa utawakuta na vipensi vyao wamekaa wanaoshwa miguu, anakatwa kucha na kupakwa mafuta mpaka mapajani.
Una balaa wewe🙆♂️🙆♂️Aisee kiukweli nikiona mkaka kavaa hivo huwa sielewi kama yupo sawa na kuna mmoja nilimuona na ana chura kubwa tu😂😂 nikashangaa
Mlenda mlenda sana yule dogo@extrover tema mate chini😥
Mlenda mlenda sana yule dogo
AminaMungu aepushie mbali
Amina
Mie sifati kitu huko wala sio mnazi wa kufukua samadi! Ila watoto wa sikuhizi ni balaa wanapenda sana hizo habari na mambo ya kuiga iga upuuzi mitandaoni!Lakini wanaume nyie!! Hivi mnafataga nini huko?
Si mtusaidie tuu kumaliza hii tabia mbaya? Wanaume mkiamua inawezekana
Mimi sijawahi kuuelewa msimamo wa wanawake kwenye swala zima la ushoga. Ni kama hua naona wanawake hawajali wanaona kawaida tu. Ndio maana mashoga wengi sana marafiki zao wakubwa ni wadada!Lakini wanaume nyie!! Hivi mnafataga nini huko?
Si mtusaidie tuu kumaliza hii tabia mbaya? Wanaume mkiamua inawezekana
Mimi sijawahi kuuelewa msimamo wa wanawake kwenye swala zima la ushoga. Ni kama hua naona wanawake hawajali wanaona kawaida tu. Ndio maana mashoga wengi sana marafiki zao wakubwa ni wadada!
Nami kama wewe, huko insta ni jamii nyingine kabisaMimi ndio kwanza nimemjua kwenye sredi ya uwoya otherwise nisingemjua.
Huoni BOXER piki piki hiyo mkuu?😂😂Ana Mansion Mbezi Beach , Kawe Beach , Mbweni Beach , Kijichi Beach ,Oysterbay au Masaki?