Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mansion kama mansion ama.........Ana Mansion Mbezi Beach , Kawe Beach , Mbweni Beach , Kijichi Beach ,Oysterbay au Masaki?
Duuuh[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]Ni shoga.anadanga pia.sema yeye sio wale wa uswahilini. Ni wa kishua halafu educated
Mna moto kweli humu?
Mansion kama mansion ama.........
Nafikiri mansion anaijenga yusuphu bakhresa kachungulie insta kule kaposti
Na huyo Loy ndio anashinda nae eti anko!!!Duh huyu anaqeza anza kumharibu hata huyo mtoto wa uwoya, dah mwanamke kukosa akili ni hasara mno, amulee mtoto kiume na sio ka yeye kudanga na kutembea na mwanaye kokote
Ndio za vijana wa daslamuHivo vipensi mmh!
Aah wanafanya tuwahisi vibaya sasa, mwanaume rijali anavaa vizuri tuNdio za vijana wa daslamu
Wenyewe wakivaa hivyo, utawakuta wanakunywa Windhoek wanaona wamemalizaAah wanafanya tuwahisi vibaya sasa, mwanaume rijali anavaa vizuri tu
Aisee kiukweli nikiona mkaka kavaa hivo huwa sielewi kama yupo sawa na kuna mmoja nilimuona na ana chura kubwa tu😂😂 nikashangaaWenyewe wakivaa hivyo, utawakuta wanakunywa Windhoek wanaona wamemaliza
Itakua ndo yule wa mwijako m.city hahaAisee kiukweli nikiona mkaka kavaa hivo huwa sielewi kama yupo sawa na kuna mmoja nilimuona na ana chura kubwa tu[emoji23][emoji23] nikashangaa
Unazungumzia huyu hahahaView attachment 1893095Aisee kiukweli nikiona mkaka kavaa hivo huwa sielewi kama yupo sawa na kuna mmoja nilimuona na ana chura kubwa tu[emoji23][emoji23] nikashangaa
Mkuu hapa siyo Samaki samaki Mcity , huyo mtu nilimuona hapo kweli ila si huyo hapo😂😂 kimefunga na kipochi kiunoni dah🙌