Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
- Thread starter
- #21
After one yr and half or two yrs,ntakua nshajipanga completelyUnarudi lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
After one yr and half or two yrs,ntakua nshajipanga completelyUnarudi lini?
Insha Allah,mm karibia familia yote ipo huku,nmetafutiwa bwana[emoji38] [emoji12] nmemkataa,hahaha nataka wa bongo staki ishi huku japo starehe nyng alhamdulillahMimi nina mama zangu wawili na dada zangu Yaaani kwa ujumla family kubwa iko Oman... Huwa najiambia Nikienda India na Dubai nipite kidogo niwasalimie lakini najifanya busy.... Lakini safari hii nitapitia inshallah.
Kwa nini unapenda wa bongo... Au ndo rizki yangu.Insha Allah,mm karibia familia yote ipo huku,nmetafutiwa bwana[emoji38] [emoji12] nmemkataa,hahaha nataka wa bongo staki ishi huku japo starehe nyng alhamdulillah
Anhaaa.... Oman there I go...Am still young ,hata nkirud bongo niko full kujipanga[emoji38] soon narud
Kumbe ndo maanaaaaa..... anhaaaaa....Insha Allah,mm karibia familia yote ipo huku,nmetafutiwa bwana[emoji38] [emoji12] nmemkataa,hahaha nataka wa bongo staki ishi huku japo starehe nyng alhamdulillah
Hahaha uko ndo kwetu na ndo nlipopazoea,maisha ya huko nayapenda naenjoy japo tabu tabu zipo lkn insha Allah kila kitu kitaenda as planned.Kwa nini unapenda wa bongo... Au ndo rizki yangu.
Aspirin Haipendezi mtu mzima kuwa mmbeya.Anhaaa.... Oman there I go...
Ha ha ha babu mchunguziii umefikaje hapaAnhaaa.... Oman there I go...
Kujua mrembo anapoishi siku hizi ni umbea?Aspirin Haipendezi mtu mzima kuwa mmbeya.
Babu ntakusemea kwa mwanaoKumbe ndo maanaaaaa..... anhaaaaa....
Si nlikuambia moyo wangu unanielekeza ulipo...Ha ha ha babu mchunguziii umefikaje hapa
Hahaha bora useme ww,mana babu wengine uzee unawajia vibayaAspirin Haipendezi mtu mzima kuwa mmbeya.
Ana taarifa zote huna sababu ya kujisumbuaBabu ntakusemea kwa mwanao
Babuuu ebu acha mambo ykoSi nlikuambia moyo wangu unanielekeza ulipo...
Uzee waja vibaya hhmm!!Ana taarifa zote huna sababu ya kujisumbua
Usisahau duaNgoja nikasali kwanza
Mbona una mbaya.Hahaha uko ndo kwetu na ndo nlipopazoea,maisha ya huko nayapenda naenjoy japo tabu tabu zipo lkn insha Allah kila kitu kitaenda as planned.
Napenda wanaume wa kibongo hasa wabara,sitaki mwarabu mwenzagu[emoji23] .nawapenda they are powerfull kwa kila kitu.unataka nkualike harusini nn!!