Huyu mama wa mhe. Bilal ndo sura yake au hasira?

Huyo aliyenuna ni bi mdogo .......inaonekana hataki kuambatana na bi mkubwa aisha kushoto......pia inawezekana yeye pia anaona kubanwa na protocal wakati mzee mwenyewe "damu lala"...huku walinzi kibao....nashauri ashike mlinzi mmoja amliwaze..[refer yaliyomtokea rais salmin kuoa watoto wa kilo wakati ngoma yenyewe ya kupepea]
 
you are under arrest for make me lough hahahaaaaa hahahahaaaaaa!!!!!!..
 
Kachukizwa na jinsi Shy Rose alivyovaa!
 
mbona hajanuna?acheni kumchafua mama wa watu aonekane ana gubu wakati hana......ila ndoa za mitala zife!!,zinadegrade women
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…