Huyu Manzi kila nikikutana naye Guest ananiwekea Nyimbo za kwaya na Injili. Nimechoka sasa!

Huyu Manzi kila nikikutana naye Guest ananiwekea Nyimbo za kwaya na Injili. Nimechoka sasa!

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Hii sijui niiteje au Ndio Wokovu unanifata fata kila niendako.

Je nikubali mwito wa wokovu au nikaze fuvu?

Huyu manzi mama nilivyosema nikifika naye tu ndani kwa ajili ya mnyanduano basi utasikia ameweka kwenye simu yake nyimbo za Injili mara kwaya.

Na mimi najifanya kama sisikiii naendelea na kilichonipeleka.
 
Hvi hii ina maana gani wajameni , kuwekewa nyimbo za kidini wakati wa kungonoka
 
Anakukumbusha mungu yupo ko baada ya kumchakata inabid ukatubu,bila shaka she's a keeper
 
Back
Top Bottom