Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Eti mazee huyu anaekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndo huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaan kwamba kwamiaka mi5 hakutatokea streka kama huyu! Niyakweli hayo?
Bila shaka umetuliza Mbupu zako au sio?Eti mazee huyu anaekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndo huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaan kwamba kwamiaka mi5 hakutatokea streka kama huyu! Niyakweli hayo?
Njoo uedit hujachelewa badoJuzi aliotea
Endelea na uzi wako mbona umeukimbia, mayele amekusikia na amekujibu leta jingineEti mazee huyu anaekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndo huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaan kwamba kwamiaka mi5 hakutatokea streka kama huyu! Niyakweli hayo?