Huyu Mayele ndio mnamwita straika jini?

Pettymagambo

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2017
Posts
1,490
Reaction score
8,227
Eti mazee huyu anayekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndio huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaani kwamba kwa miaka mi5 hakutatokea straika kama huyu! Ni yakweli hayo?
 
Duh! Utopolo choka mbaya! Timu haijacheza game nyingi mfululizo kama za watani zake makolo kwa miaka 4 m! Lakini wanachokifanya hapa nikama wao ndo wamecheza game nyingi sana.
 
Eti mazee huyu anaekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndo huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaan kwamba kwamiaka mi5 hakutatokea streka kama huyu! Niyakweli hayo?
Bila shaka umetuliza Mbupu zako au sio?
 
Kwahio uto mayele kawashika maskio anawatetemyaa?
 
Eti mazee huyu anaekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndo huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaan kwamba kwamiaka mi5 hakutatokea streka kama huyu! Niyakweli hayo?
Endelea na uzi wako mbona umeukimbia, mayele amekusikia na amekujibu leta jingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…