Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Pettymagambo njoo huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JigoPettymagambo njoo huku
Hajanijibu chochote! zile nafasi za wazi first half zmenishangaza kiukweli!Endelea na uzi wako mbona umeukimbia, mayele amekusikia na amekujibu leta jingine
Kama Mayele aliifunga Simba goli mbili basi ni mfalme,Sopu aliyewatoboa goli tatu kinye fc atakuwa nani kwao?Waulize makolo
Kuna wanaume wengi yanga wanatamani Mayele awe bwana yaoMayele apewe wizara ya fedha, mwigulu nchemba apumzike.
Kama Mayele aliifunga Simba goli mbili basi ni mfalme,Sopu aliyewatoboa goli tatu kinye fc atakuwa nani kwao?
Kwakuwa we Ni bwanako sio unahofia watakuibia! Dah,kweli bongo mashoga wengiKuna wanaume wengi yanga wanatamani Mayele awe bwana yao
Kwa nini una hasira na wakati mmesema wenyewe mnatamani Mayele awaoe?Kwakuwa we Ni bwanako sio unahofia watakuibia! Dah,kweli bongo mashoga wengi
Simba 0 Yanga 2Kuna wanaume wengi yanga wanatamani Mayele awe bwana yao
Mayele hajawafunga simba goli mbili acha uongo
Mpira huwa unasimuliwa na Jemedari au. Aliyewapasua siku ya ngao ni Deejan?
Khaaaa unasemaje? Kwenye ngao ya hisani tuambie yale magoli mawili ya yanga alifunga nani??!!Mayele hajawafunga simba goli mbili acha uongo
Ndo Huyo Huyo!!Eti mazee huyu anayekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndio huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaani kwamba kwa miaka mi5 hakutatokea straika kama huyu! Ni yakweli hayo?