Huyu mbunge Jaguar kama bado hajakamatwa basi Kenya mnaendekeza chuki na ukabila

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Inauma sana pale unapojua jirani yako ni mnafiki au ni adui yako. Kauli ya mbunge wa jimbo la Starehe Jaguar inachefua sana hasa kutokana na ujirani tulio nao,hii ilizoeleka kutokea Bondeni tena sio kiongozi kusema basi watu kuamua.

Nilitegemea kiongozi kama huyo angechukuliwa hatua mara moja ili kutoa funzo kwa wengine. Je? Wakenya hawako nje ya nchi yao? Vp nao wakichukuliwa hatua kama mbunge anavyotaka?

Je Wakenya kweli mmeshindwa kupambana na kushindana na wafanyabishara kiasi cha kuona kuwatoa ndio suluhisho?? Jiongezeni bana mnatutia aibu.
 
Xenophobic Jaguar.. Dhambi ya kubaguana wenyewe kwa wenyewe inaendelea kuwaumiza na itawamaliza. Jaribu kumgusa Mtanzania yeyote hapo Kenya uone mjibizo utakavyowalipukia huku Tz.
 
Xenophobic Jaguar.. Dhambi ya kubaguana wenyewe kwa wenyewe inaendelea kuwaumiza na itawamaliza. Jaribu kumgusa Mtanzania yeyote hapo Kenya uone mjibizo utakavyowalipukia huku Tz.
Mbona hamkufanya lolote wakati Watanzania waliuawa kule South Africa? Usijichoche Babaa hakuna utakalolifanya na hakuna Mtanzania atasumbiluwa hapa Kenya.
 
Hii ndio tatizo la kuchagua watu ambao hawaja komaa wasiojua maana halisi ya amani inahuzunisha sana kwa mtu anayetarajiwa kuwa suluhisho but anatoa kauli za kichochezi shame on you jagur aliyekupa hilo jina roho ya kinyama imo ndani yako tena nakutamkia kwa jina yesu hauta fika mbali may be itcould be better for you if you apologize publicly how dare you facilitate xenophobia in your country usije kujaribu kumgusa mtanzania yeyote utapata taabu sana shame on you jaguar
 
Yaani wanashindwa kufanya biashara na kujiongeza. Wanataka wawafukuze wageni. Haki huyu juguar Hana akili hata moja. Ngoja nikamuanfollow Instagram.
 
Si Midanganyika huwa wanasema hawawezi kuja Kenya kutafuta riski??mbona wanalialia saa hizi?jaguar ongeza volume
 
jaguar yupo sawa wageni wanafaa kutulia sio kuleta jeuri kwa nchi ya wenyewe
 
Yaani wanashindwa kufanya biashara na kujiongeza. Wanataka wawafukuze wageni. Haki huyu juguar Hana akili hata moja. Ngoja nikamuanfollow Instagram.
Nimeipenda hii comment
 
hahahaaa iv si ndo hawa wa kenya mnaojifanya ma vibrant sio ma opportunist mbona leonmnalia mnataka mpige watu !! haya mambo hakika mkianzisha mjue itawa cost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…