Dadiz
Member
- Jun 30, 2018
- 20
- 8
- Thread starter
- #41
Non sense!!! Acha kuishi kwa kukariri aisee.....Wewe endelea kuita upuuzi na sisi tunaendelea kuonyesha umahiri wa vijana wachache wa Kitanzania wanaofanya moves beyond their limits.Huu upuuzi huwa mnautoa wapi kwa watu tunaojua kuwa hawakushinda uchaguzi zaidi ya kupora uchaguzi? Au mleta mada ndio huyo unayemtetea kwenye huu uzi?