Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Utatiwa mimba ya kinyumenyumeNi mchumia tumbo flan tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatiwa mimba ya kinyumenyumeNi mchumia tumbo flan tu
Yani mwanaume anasifia sauti ya mwanaume mwenzake, kama wewe ni mdada sina shaka na ilo ila kama kidume again familia inakutegemea aiseee! umeizalilisha sana familia yako.Kwa sisi ambao hatushabikii upande wowote wa kisiasa na tunaofuatilia kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kuna huyu "mwamba" MC wa CHADEMA mwenye sauti na punch nzito sijui anaitwa nani.
Hakika CHADEMA mmelamba dume kuliko uchaguzi wa 2015 ambapo aliyetumika kama MC, ndugu John Mrema alionekana kupwaya mno.
Huyu jamaa wa sasa ana ubunifu na amsha amsha ya hatari. Nadhani atakua ni mmojawapo wa viongozi waandamizi wa chama pamoja na timu ya kampeni.
Ningependa tumfahamu kidogo
NB: Kwenye picha ndio huyo aliyevaa suti