Kwa sisi ambao hatushabikii upande wowote wa kisiasa na tunaofuatilia kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kuna huyu "mwamba" MC wa CHADEMA mwenye sauti na punch nzito sijui anaitwa nani.
Hakika CHADEMA mmelamba dume kuliko uchaguzi wa 2015 ambapo aliyetumika kama MC, ndugu John Mrema alionekana kupwaya mno.
Huyu jamaa wa sasa ana ubunifu na amsha amsha ya hatari. Nadhani atakua ni mmojawapo wa viongozi waandamizi wa chama pamoja na timu ya kampeni.
Ningependa tumfahamu kidogo
NB: Kwenye picha ndio huyo aliyevaa suti