Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shos km shos.
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜
 
Mku umekuta na jini litakutesa hadi uzeeni. Nguvu zako zote za ujanani utamalizia hapo .Rudisha maendeleo bomani acha zinaaa .
 
Nakuaminia mbona kwako DeepPond akasome...[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]!
Umeamkaje mahondaw nmeamka Sina MDA mrefu.
Uchovu wa Jana sio POA kabisa [emoji4]

nakupigia unatumika Sana, Sijui Nani uyo kakuweka bize asbh yote hii mtu wangu[emoji57]
 
Mku umekuta na jini litakutesa hadi uzeeni. Nguvu zako zote za ujanani utamalizia hapo .Rudisha maendeleo bomani acha zinaaa .
Ng'ombe Dume hazeeki maini bwashee[emoji3]
 
Umeamkaje mahondaw nmeamka Sina MDA mrefu.
Uchovu wa Jana sio POA kabisa [emoji4]

nakupigia unatumika Sana, Sijui Nani uyo kakuweka bize asbh yote hii mtu wangu[emoji57]
Niko gudo best .. Wee kwaule muda ulioenda ni lazima uchelewe kuamka!!
Yea I was talking with someone best nikitulia will check you!!
 
Mangi unazingua sana asee,ninacho kiona ni HIV,itakayo teketeza familia yako,huyo mwananke akipata mwenye pesa anakusahau akifulia anarudi,sasa anaweza nasa huko akakuletea
 
Anauza maziwa[emoji1][emoji1][emoji1]na anauza maji ya kisima
 
[emoji1][emoji1][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3]ila wanaume nyokoo Sana'a[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]!!!!
 
Usipende kuhusinsha sana ma askari kwenye ishu zngne ni wepesi sanaa kukutaja wakipewa hela kidogo tu au wakibanwa
 
[emoji1]mkeo mzembe hana muda hata wa kukufatilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…