Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

We Acha tuu...
Km Ana akili anaweza kufanya makubwa kaa salary yake tu.
Halafu DeepPond yule dent hujaelezea kama.bado mnawasiliana au vipii
Mawasiliano yapo na Jana kanipigia kunijulia Hali. Fresh tu anaendelea POA.
 
Huyo mke huyoo ndo mana anasaidiwa. Ila labda kichanga kimemuweka busy
 
Presha zote za nini!!!!mke kasharidhika na maisha yake

JamiiForums mobile app
 
Ukute ni mzaramoo... anatumia sex kukeep mwanaume. Angepoa huko kwingine angekula mema ya nchi zaidi
 
Mhh
 
Hajakaa na washenz kama mm
Kwanza zikiwa nyepesi tu najua kuna walakini
Sema bi mkubwa kajiridhikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…