Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Kweli kabisa ...
Lazima mwanamke uwe mtundu usikae tu na kuridhika kisa tu umeolewa na kusahau majukumu yako kama mke .
Tunafeli sana mwanaume anakuja nyumbani pananuka maziwaa!!!nyumba iko hovyooo!!tenge la mwaka 47!chumbani tafranii!kitandani gogoo!kwa nini wasichepuka kwa kina mama Jasmine

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Duh, huyo mcheps sio poa. Halafu mbona kama mnadinyana mno... guys haya mambo masaa yote hayo mi hata siwezi aisee.

Ila mkuu DeepPond kwa jinsi mcheps ulivyokukamata kuna 50/50 chance za kumsahau mke wako.
Mwanamke hana cha kudiscuss nae na hana cha kumpa zaidi ya uchi!kwa mkewe ndo wakadiskasi maisha huyu ni kutiana ttuuu!/

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hahaha, shemu alipolewa ulipiga bila ndomu, tena ukainyonya kabisa, sasa hapo Lodge ndomu ya nini brother
 
Naama mke kuwa malaya kwa mumeo sasa mpe kifo cha mende kila siku utajua hujui
 
Nahofia kumuoa maana tabia zake Kama VIGEZO vya wife material bado kabisa.

Kua MKE Mimi naamini Ni Zaid ya kua fundi wa ngono kitandani

Kwaiyo ngoja abaki Un-official maybe atakuja jirekebishe baadae baadae.

kwaSasa hapana,
Nahofia tutasumbuana Sana uyu,[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…