Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Umekua binam yangu..hongera kwa kuepuka visivyo vya lazima
Thanks,
yanini Sasa kupigizana kelele kwa minor issues. Kutwa kucha kuita majiran kusuluhisha[emoji4]
 
Sina aibu hataaa, hoja yangu ni kuchapana masaa sita, hizo nguvu nazitoa wapi na umri huu[emoji23] huyu mwamba amepewa nguvu sio poa!
Sio masaa 6 straight to push in&out, pale Ni kwamba Kuna breaks kadhaa hivi katikati.

Kiuhalisia pale Ni only 3hrs straigh za in&out to fuq
 
Nimemwabia mimi akanichamba fasta na mipasho juu.

Kwa kweli mapenzi bwana.....
Ngoja niende nae kwanza kdg kdg.

Akijirekebisha ntamfungulia, bado wazo langu halijatoka bado[emoji4]
 
Kuna coloration kati ya uzuri wa kitandani na ukosefu wa akili ????

Nimeona hii inajadiliwa sana. Mara nyingi wanawake ambao wako vizuri upstairs wanakuwa sio wazuri sana on bed.

Hebu tufungueni akili hapa
Kwakweli wajuvi wa saikolojia na afya ya akili wake waione Hii.

Mimi pia nasubir majibu[emoji4][emoji120]
 
Umefafanua vema kabisa binamu[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…