Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Hapo mmekutana Pipa na mfuniko
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
Ha ha ha.... Kwann mkuu?
 
Sema ktk hii story ww mwenyewe unao ekana ndezi na mapenzi yake yashakulewesha hujiwez yaani endelea kuhangaika nae. Binafsi km ningekuwa mm ningeshapiga chini tangu alipozingua first time. Huyo mwanamke hiyo ndo hurka au tabia yake na tabia ni km ngozi ya mwili huwez kuibadili mzee huyo ni wa hivyo mpaka anakufa hatabadilika. Nishawahi kuwa na mwanamke asiejielewa km huyu siku nimemtamkia nampiga chin alidhan masihara nlipiga chin mazimaaaa na kulia kote sikumuhurumia hata nukta mwaka wa 3 huu kabaki kutuma visalamusalam tu whatsapp na wishes za birthday kila mwaka haamin kilichotokea. Sasa ww endelea na huyu wa kwako maana ninavyoona hata ww kumuacha huwez ndomaana uliishia kukubali wazo la kumshikisha adabu tu na huyo jamaa wa sheli ila sio kukubali afukuzwe kazi mazimaa then apaukiane kitaa na kufubaa kwa kupigwa na maisha why????? Simply bcoz u love her imensely. Binafsi sion hata km unahitaj ushaur wwte seriosly ww endelea kuishi humo mzee tetea penzi lako iishi furaha yako we live once mkuu
 
Nmeoenda Sana hayo Maneno yako matatu ya mwisho mkuu. We live once[emoji4]
 
Uyu nishajua kabisa ndo tabia yake alikozaliwa. That's why sijiumizi Sana kumbadilishia.

Kwanza najua kabisa kwa tabia zile sidhan Kama Kuna Mwanaume serious ataoa pale. Au kudumu nae.

coz Ni mwanamke anaepima mtu afu ni dominant,
Yaan anauthubutu wa kutest kila Mara pale anaopoona Mwanaume kaonesha Udhaifu wake. Mf: kumcare au kumnyenyekea.
(hata Kama kile kitu Ni Cha ovyo, au kinaumiza, yeye hajali.)

Yaan huwa naamini yule mchepuko wangu ndo wale wanawake walozaliwa kua mchepuko na wala sio kuweka ndani mazima.
 
Huyo jamaa kamaliza kabisa yaani bonge la ushauri wa kijinga ila unafaa kabisa.
 
Mzee mbona unateswa kama ndezi,
Umerogwa sio bure wewe
 
Ebanaa eeeeh,
Bonge la kisa na pole kwa changamoto DeepPond
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe [emoji28]

Nimekukubali sana hapo kwenye kashikashi uliompa mchepuko na kucheza nae jino kwa jino. Wanawake tunawapenda na kuwaheshimu ila wanawake wajinga wajinga lazima twende nao kijeshi hivyo ndio tunaheshimiana.

Huu mwaka nipate toxic relationships tuoneshane makali kudadeq[emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jino kwa jino mkuu[emoji4]
Hakuna kuonesha unyonge Wala kulia lia
 
Huyo jamaa kamaliza kabisa yaani bonge la ushauri wa kijinga ila unafaa kabisa.
USHAUR ulnisaidia Sana ule, alikonda akapauka akakosa msaada mpk wakaachana na yule ex wake. Akili ikamrudi[emoji4]
 
Ana camel toe, ana utelezi mwingi ana maji lazima unase rafiki yangu, pole nimesoma yote hadi kulowana, unaonekana mbabe sana wewe juu ya kitanda

Ushauri wangu achana na huyo mchepuko atakuharibia sana pole rafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan story inahamasisha nyege hii, hasa hayo mapigo ya rough
Sex na hardcor fckn, yaan uwiiiiiiih nipo tepe tepe woiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…