Amekuita majina unayostahili, hivyo hukuwa na sababu ya kumpigaAnajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!,akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu! ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka!.. mara aniite mimi nyumbu! mara jitu la hovyo!, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
kinachoniuma kwanini aniite kenge maji!
natafuta jambo lakumuadabisha zaidi,sasa nimfanye nini..?
Lucha mwenzako huyu! Miaka 10 ijayo akisoma mandishi hayo atajiona alivyokuwa wa ajabu.Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!,akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu! ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka!.. mara aniite mimi nyumbu! mara jitu la hovyo!, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
kinachoniuma kwanini aniite kenge maji!
natafuta jambo lakumuadabisha zaidi,sasa nimfanye nini..?
Acha utoto KENZY we mkubwa ujue!!Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!,akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu! ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka!.. mara aniite mimi nyumbu! mara jitu la hovyo!, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
kinachoniuma kwanini aniite kenge maji!
natafuta jambo lakumuadabisha zaidi,sasa nimfanye nini..?
Kumbe unajua kutukana.Ona jinga hili