Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameniboa mkuu, mwenzie pamoja na kuwa anajijua ni mchepuko kashindwa kuhimili hasira zake kwa wivu aliokuwa nao yeye anamdhihaki eti kisa kaitwa kenge maji ... fyuuuuUmeongea kwa hasira sana Mitchell.
Haswaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kenge Vs Kenzy Ni Mulemule [emoji23][emoji23][emoji23]
Umalaya tu unamsumbua na atapata anachokitafuta 🤣Mbona una micheps wengi namna hii? Nilidhani mke + mcheps mmoja wanatosha kuifurahisha nafsi yako na swala zima la tamaa za mwili, wawili +wife mbona kama wengi sana.
Pole sana mkuu!Ameniboa mkuu, mwenzie pamoja na kuwa anajijua ni mchepuko kashindwa kuhimili hasira zake kwa wivu aliokuwa nao yeye anamdhihaki eti kisa kaitwa kenge maji ... fyuuuu
Mcheps mmoja anatosha sio?🤣🤣Umalaya tu unamsumbua na atapata anachokitafuta 🤣
sawa kenge majiAnajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!
Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!
Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
Hahahahaha umefanya nimecheka sana eti "KENGE MAJI"Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!
Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!
Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
Sasa mkuu mchepuko tu kakushinda ije iwe mimimkuu kama hujufunzwa adabu kwenu mie nitajitolea kukufunza...