Huyu mchepuko nimfanye nini?

Huyu mchepuko nimfanye nini?

Umeongea kwa hasira sana Mitchell.
Ameniboa mkuu, mwenzie pamoja na kuwa anajijua ni mchepuko kashindwa kuhimili hasira zake kwa wivu aliokuwa nao yeye anamdhihaki eti kisa kaitwa kenge maji ... fyuuuu
 
Mbona una micheps wengi namna hii? Nilidhani mke + mcheps mmoja wanatosha kuifurahisha nafsi yako na swala zima la tamaa za mwili, wawili +wife mbona kama wengi sana.
Umalaya tu unamsumbua na atapata anachokitafuta 🤣
 
Ameniboa mkuu, mwenzie pamoja na kuwa anajijua ni mchepuko kashindwa kuhimili hasira zake kwa wivu aliokuwa nao yeye anamdhihaki eti kisa kaitwa kenge maji ... fyuuuu
Pole sana mkuu!
 
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!

Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!

Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!

Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
sawa kenge maji
 
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!

Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!

Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!

Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
Hahahahaha umefanya nimecheka sana eti "KENGE MAJI"
 
Na kenge maji lazima awe anagonga kenge maji...hivyo nyie nyote ni kenge maji!
 
Back
Top Bottom