GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mtaongea yoteKibu denisi aliechangamka
Akifunga Sana ni Goli nne [emoji28]Kwa Kipaji kikubwa alichonacho na kwa aina ya Vipaji vilivyopo hapa nchini Uganda Simba SC watafanikiwa nae mno.
View attachment 3030974
Steven Mukwala
Kila mechi atakayocheza au sioAkifunga Sana ni Goli nne [emoji28]
KochaSIMBA watakapotangaza ndipo nitaongea..
Haya mengine ni mbwembe tu za MSEMAJI
Steven Mukwala huyu huyu! Ila mashabiki wa simba huwa mnawapamba sana wachezaji wenu kabla ya usajili! Ila baada ya usajili sasa, uhalisia wake unakuwa ni mbingu na ardhi!Kwa Kipaji kikubwa alichonacho na kwa aina ya Vipaji vilivyopo hapa nchini Uganda Simba SC watafanikiwa nae mno.
View attachment 3030974
Steven Mukwala
Huu utabiri siyo poa hata kidogo 😀Akifunga Sana ni Goli nne [emoji28]