Huyu Mchezaji Steven Mukwala kutoka Uganda akisajiliwa na Simba SC nitajua sasa Simba SC wameamua kuwa Serious na Vikombe walivyovikosa

Huyu Mchezaji Steven Mukwala kutoka Uganda akisajiliwa na Simba SC nitajua sasa Simba SC wameamua kuwa Serious na Vikombe walivyovikosa

Bamutu batalokota benyewe munyavu....moja kati ya sign niliyoisubiri kwa hamu sana ni hii,uzuri pale simba maduka yote makina mkude,chama,na inonga yametimuliwa,mikundu yao.
Dah! Na matusi juu! 😀
 
Kuna Uwezekano Mkubwa Wachezaji Wafuatao Kutolewa kwa Mkopo na Kuondoka simba.

1. Karabue Chamoe.
2. Agustine Okejepha.
3. Joshua Mutale.
4. Steve Mukwala.
5. Aishi Manula.


STEVEN DESE MUKWALA STREIKA REFU KULIKO GOLI HARUKI ANAWEKA TU WAH, WAH.

SH3NZI.
 
Yanga ina mashabiki wa ajabu sana. Sijaelewa hizi kejeli za Mukwala zinatokea wapi. Ndiyo anaweza na anahitajika kufanya vizuri zaidi ila kama chaguo la pili kama striker namba zake siyo mbaya kabisa.

Alifunga goli muhimu dhidi ya Mashujaa na nilisema wakati ule kuwa ule ushindi ndiyo unaenda kuipa Simba ubingwa. Nilisema vile maana nilijua unaenda kuamsha nini ndani ya wachezaji wa Simba. Wote tumeona mechi zingine ngumu ambazo Simba imepata ushindi ikiwemo wa dakika za jioni, chachu yake ilikuwa ile mechi ya Kigoma.

Usikute mnamsagia kunguni ili Simba imuache mumchukue.
 
Yanga ina mashabiki wa ajabu sana. Sijaelewa hizi kejeli za Mukwala zinatokea wapi. Ndiyo anaweza na anahitajika kufanya vizuri zaidi ila kama chaguo la pili kama striker namba zake siyo mbaya kabisa.

Alifunga goli muhimu dhidi ya Mashujaa na nilisema wakati ule kuwa ule ushindi ndiyo unaenda kuipa Simba ubingwa. Nilisema vile maana nilijua unaenda kuamsha nini ndani ya wachezaji wa Simba. Wote tumeona mechi zingine ngumu ambazo Simba imepata ushindi ikiwemo wa dakika za jioni, chachu yake ilikuwa ile mechi ya Kigoma.

Usikute mnamsagia kunguni ili Simba imuache mumchukue.
Kejeli zimetokea hapohapo mlipomsifia....haihitaji kuelezea meeeengi
 
Yanga ina mashabiki wa ajabu sana. Sijaelewa hizi kejeli za Mukwala zinatokea wapi. Ndiyo anaweza na anahitajika kufanya vizuri zaidi ila kama chaguo la pili kama striker namba zake siyo mbaya kabisa.

Alifunga goli muhimu dhidi ya Mashujaa na nilisema wakati ule kuwa ule ushindi ndiyo unaenda kuipa Simba ubingwa. Nilisema vile maana nilijua unaenda kuamsha nini ndani ya wachezaji wa Simba. Wote tumeona mechi zingine ngumu ambazo Simba imepata ushindi ikiwemo wa dakika za jioni, chachu yake ilikuwa ile mechi ya Kigoma.

Usikute mnamsagia kunguni ili Simba imuache mumchukue.
Itoshe kusema we ni mbumbumbu yaani chezaji litoke nje lije kuwa streka namba 2 simba hapo unaona umechambua mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣
 
Viongozi wa Simba kuna namna wanazungumza ubingwa wa Afrika na Ligi ya ndani lakini kuna baadhi ya vitu wanafanya vinaenda kinyume na matamko yao. Viongozi wa Simba hawapaswi kulaumiwa kwa kumsajili Mukwala na hata Mutale kwani usajili ni kamari na hii ipo duniani kote na kuna mifano mingi tu Shevechenko, Mateja Kezman, n.k. Na hawa sio wachezaji wabaya lakini kwa ukubwa wa Simba ilipofika hao wachezaji hawastahili kuwa Simba.

Lakini viongozi wa Simba hawawezi kukwepa lawama kwa kushindwa kuachana au kuwatoa kwa mkopo Mukwala na Mutale kwenye dirisha dogo. Walishakaa na hawa wachezaji kwa miezi zaidi ya sita wameowaona mapungufu yao na ni wazi kuwa jezi ya Simba ni nzito sana kwao. Viongozi walipaswa hata wawatoe kwa mkopo ili walete washambuliaji wenye hadhi ya kucheza Simba kwani sasa hivi Simba inatengeneza sana nafasi lakini hakuna wa kuzitumia vizuri labda kidogo Ateba ndio anajitahidi.

Kwa hiyo ni ngumu sana kwa Simba kupata mataji yote mawili la ndani na nje huku una mshambuliaji mmoja tu wa maana ambaye ni Ateba. Na haihitajiki uwe mtalaamu sana wa mpira kuweza kuona kuwa mapungufu makubwa sana iliyo nayo sasa hivi Simba ni eneo la ushambuliaji.

Ni mtizamo tu.
 
Kejeli zimetokea hapohapo mlipomsifia....haihitaji kuelezea meeeengi
Kwani alichosema mleta mada na kilichotokea kina tofauti gani? Kwani Simba imeshindwa kurudisha mataji? Kwani Mukwala hatoi mchango katika timu?

Mnajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Kwani alichosema mleta mada na kilichotokea kina tofauti gani? Kwani Simba imeshindwa kurudisha mataji? Kwani Mukwala hatoi mchango katika timu?
Kwani hayo mataji simba waliyapeleka wapi mpaka wayarudishe🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom