Huyu mchoma mahindi yupo wapi?

Ya kwenda kula wapi?
Hivi unajua Kuna wafanyabiashara wachafu umewahi shuhudia mahotelini chakula kinavyoandaliwa , au kwa mama ntilie Yani ndo mana hata chakula Chao wanapiga tofauti ni basi tu nafikiri umenielewa

Sasa tuje kwa huyu muuza mahindi akiweka huko anapunguza joto kupotea na wateja wanapenda mahindi ya Moto Moto hivyo akimaliza ya mkononi anachomoa tu unauziwa 🤔ndo
 
Ila hayo mahind yataungua
 
mlitaka wapambane nae wakati anampa Rais hindi tu nyie vipi?kujifanya mnajua sana kumbe hamjui lolote 😕
[emoji1787] tumena Mara nyingi wkt wake hata waziri tu akitaka kumpa mkono anasumbiliwa na wasaidiz wake,

Sasa a mere mchoma mahindi yupo comfortable [emoji3061]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…