Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who knows? Who cares?Huyu mchoma Mahindi mwenye binduki anapatikana kijiwe gani!? Niko njiani naenda Dodoma nataka nimpitie aniuzie mwindi choma moja.
View attachment 2567219
Zicomedy Show
You never know kama ameweka mahindi je😂 nimewaza tu lakiniHuyu mchoma Mahindi mwenye binduki anapatikana kijiwe gani!? Niko njiani naenda Dodoma nataka nimpitie aniuzie mwindi choma moja.
View attachment 2567219
Zicomedy Show
Hivi unajua Kuna wafanyabiashara wachafu umewahi shuhudia mahotelini chakula kinavyoandaliwa , au kwa mama ntilie Yani ndo mana hata chakula Chao wanapiga tofauti ni basi tu nafikiri umenielewaYa kwenda kula wapi?
Ila hayo mahind yataunguaHivi unajua Kuna wafanyabiashara wachafu umewahi shuhudia mahotelini chakula kinavyoandaliwa , au kwa mama ntilie Yani ndo mana hata chakula Chao wanapiga tofauti ni basi tu nafikiri umenielewa
Sasa tuje kwa huyu muuza mahindi akiweka huko anapunguza joto kupotea na wateja wanapenda mahindi ya Moto Moto hivyo akimaliza ya mkononi anachomoa tu unauziwa 🤔ndo
mlitaka wapambane nae wakati anampa Rais hindi tu nyie vipi?kujifanya mnajua sana kumbe hamjui lolote 😕Bodyguard Wala hawana mashaka naye coz Ni mwenzao wanamjua
[emoji1787]Ungesogea wewe hapo
[emoji1787] tumena Mara nyingi wkt wake hata waziri tu akitaka kumpa mkono anasumbiliwa na wasaidiz wake,mlitaka wapambane nae wakati anampa Rais hindi tu nyie vipi?kujifanya mnajua sana kumbe hamjui lolote 😕