Huyu mdada anaomba ushauri wenu

Huyu mdada anaomba ushauri wenu

Kwaiyo wazazi wa huyo hinti/kitoto Cha elfu 2,000 wanapokea kila mwanaume anayekuja kujitambulisha?

Kwanza sio mdada sema kitoto Cha elfu 2,000
Mbaba hajielewi na kitoto chenyewe hakijielewi na wazazi wa kitoto ndio hawajielewi kabisa yani vurugu.

Mimi ushauri wangu unaenda kwa huyo kijana wa miaka 29 atafute mke wa kuoa aachane na icho Kivuruge.

Huyo binti sidhani kama kweli anahitaji ushauri manaake hapo ni issue ya kufanya maamuzi tu.
 
Iko hivi huyu ni binti miaka 23, anajikuta kwenye dimbwi la mawazo katika kufanya maamuzi

Amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mbaba(40 yrs) yaani mume wa mtu kwa zaidi ya miaka miwili na amemuahidi kumuoa na amejitambulisha mpaka kwa Wazazi wake hata alipokuwa chuo cha maendeleo huyo mbaba ndo alikuwa anamsimamia huduma za chuo na kila kitu na pia alishatambulishwa hadi kwa mke wake mbaba

Pia alishamnunulia kiwanja na ameanza kumjengea nyumba

Miezi ya hivi karibuni amejikuta kupendana na kijana miaka 29 ila kwa bahati mbaya ni jobless anasubiri kuajiriwa na serikali(ualimu) kwa sasa anajishughulisha na kilimo cha jembe la mkono na yeye amejitambulisha kwao anataka kupeleka posa

Yupo njia Panda afanye maamuzi yapi?
Ahahahahaahahahahaaha
 
Iko hivi huyu ni binti miaka 23, anajikuta kwenye dimbwi la mawazo katika kufanya maamuzi

Amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mbaba(40 yrs) yaani mume wa mtu kwa zaidi ya miaka miwili na amemuahidi kumuoa na amejitambulisha mpaka kwa Wazazi wake hata alipokuwa chuo cha maendeleo huyo mbaba ndo alikuwa anamsimamia huduma za chuo na kila kitu na pia alishatambulishwa hadi kwa mke wake mbaba

Pia alishamnunulia kiwanja na ameanza kumjengea nyumba

Miezi ya hivi karibuni amejikuta kupendana na kijana miaka 29 ila kwa bahati mbaya ni jobless anasubiri kuajiriwa na serikali(ualimu) kwa sasa anajishughulisha na kilimo cha jembe la mkono na yeye amejitambulisha kwao anataka kupeleka posa

Yupo njia Panda afanye maamuzi yapi?
Ukivunjwa miguu, Uje tena hapa kuanzisha uzi.
 
Huyo mubaba amekukosea nini jamani? Kwanini uliruhusu moyo wako kumpenda mtu mwingine wakati tayari upo na mubaba wa watu?

NB: Kwa umri nilionao na uzoefu nilioupata, jambo la muhimu kwenye mahusiano yoyote ni maelewano, kuheshimiana na zaidi ni kujenga familia (kupata watoto). Zama za leo hakuna kitu kinaitwa 'kupendana'
 
Mwambie huyo kichwa maji hakuna ndoa ya kweli kati ya mtu waliyepishana karibu miaka 20. Mwisho wa siku lazima arudi kwa age mate, eidha kwa sababu ya peer pressure au kwa kutoendana na huyo babu yake.
Na ajiandae huyo jamaa mwenye miaka 40+ akitangulia kufa tu,ataitwa mchawi na amemuua ili arithi mali.
 
Andika hapo, huo ni umalaya...

1000057243.jpg
 
Huyo mubaba amekukosea nini jamani? Kwanini uliruhusu moyo wako kumpenda mtu mwingine wakati tayari upo na mubaba wa watu?

NB: Kwa umri nilionao na uzoefu nilioupata, jambo la muhimu kwenye mahusiano yoyote ni maelewano, kuheshimiana na zaidi ni kujenga familia (kupata watoto). Zama za leo hakuna kitu kinaitwa 'kupendana'
Sawa kabisa
 
Aolewe kwanza na mubaba miaka 20 badaye mubaba atafatiki huku yeye akiwa na miaka 43, Atabaki na Majumba na Pesa.

Kisha aolewe tena na yule Jembe la mkono atakayekuwa na miaka 49, miaka 20 badaye watakufa wote.
 
Back
Top Bottom