sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 3,334
- 7,651
Kwaiyo wazazi wa huyo hinti/kitoto Cha elfu 2,000 wanapokea kila mwanaume anayekuja kujitambulisha?
Kwanza sio mdada sema kitoto Cha elfu 2,000
Mbaba hajielewi na kitoto chenyewe hakijielewi na wazazi wa kitoto ndio hawajielewi kabisa yani vurugu.
Mimi ushauri wangu unaenda kwa huyo kijana wa miaka 29 atafute mke wa kuoa aachane na icho Kivuruge.
Huyo binti sidhani kama kweli anahitaji ushauri manaake hapo ni issue ya kufanya maamuzi tu.
Kwanza sio mdada sema kitoto Cha elfu 2,000
Mbaba hajielewi na kitoto chenyewe hakijielewi na wazazi wa kitoto ndio hawajielewi kabisa yani vurugu.
Mimi ushauri wangu unaenda kwa huyo kijana wa miaka 29 atafute mke wa kuoa aachane na icho Kivuruge.
Huyo binti sidhani kama kweli anahitaji ushauri manaake hapo ni issue ya kufanya maamuzi tu.