AhahahahaahahahahaahaIko hivi huyu ni binti miaka 23, anajikuta kwenye dimbwi la mawazo katika kufanya maamuzi
Amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mbaba(40 yrs) yaani mume wa mtu kwa zaidi ya miaka miwili na amemuahidi kumuoa na amejitambulisha mpaka kwa Wazazi wake hata alipokuwa chuo cha maendeleo huyo mbaba ndo alikuwa anamsimamia huduma za chuo na kila kitu na pia alishatambulishwa hadi kwa mke wake mbaba
Pia alishamnunulia kiwanja na ameanza kumjengea nyumba
Miezi ya hivi karibuni amejikuta kupendana na kijana miaka 29 ila kwa bahati mbaya ni jobless anasubiri kuajiriwa na serikali(ualimu) kwa sasa anajishughulisha na kilimo cha jembe la mkono na yeye amejitambulisha kwao anataka kupeleka posa
Yupo njia Panda afanye maamuzi yapi?
Ampe boda simu 😂Yupo njiapanda halafu ndani ya dimbwi.
Ukivunjwa miguu, Uje tena hapa kuanzisha uzi.Iko hivi huyu ni binti miaka 23, anajikuta kwenye dimbwi la mawazo katika kufanya maamuzi
Amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mbaba(40 yrs) yaani mume wa mtu kwa zaidi ya miaka miwili na amemuahidi kumuoa na amejitambulisha mpaka kwa Wazazi wake hata alipokuwa chuo cha maendeleo huyo mbaba ndo alikuwa anamsimamia huduma za chuo na kila kitu na pia alishatambulishwa hadi kwa mke wake mbaba
Pia alishamnunulia kiwanja na ameanza kumjengea nyumba
Miezi ya hivi karibuni amejikuta kupendana na kijana miaka 29 ila kwa bahati mbaya ni jobless anasubiri kuajiriwa na serikali(ualimu) kwa sasa anajishughulisha na kilimo cha jembe la mkono na yeye amejitambulisha kwao anataka kupeleka posa
Yupo njia Panda afanye maamuzi yapi?
unangapiMim sina 23 mkuu
Na ajiandae huyo jamaa mwenye miaka 40+ akitangulia kufa tu,ataitwa mchawi na amemuua ili arithi mali.Mwambie huyo kichwa maji hakuna ndoa ya kweli kati ya mtu waliyepishana karibu miaka 20. Mwisho wa siku lazima arudi kwa age mate, eidha kwa sababu ya peer pressure au kwa kutoendana na huyo babu yake.
Sawa kabisaHuyo mubaba amekukosea nini jamani? Kwanini uliruhusu moyo wako kumpenda mtu mwingine wakati tayari upo na mubaba wa watu?
NB: Kwa umri nilionao na uzoefu nilioupata, jambo la muhimu kwenye mahusiano yoyote ni maelewano, kuheshimiana na zaidi ni kujenga familia (kupata watoto). Zama za leo hakuna kitu kinaitwa 'kupendana'
We huoni gunia la mkaa?Why hii taarifa asimpe huyo mbaba kwanza wajadili Kwa kina ?