Mkolokotiatanas
Member
- Mar 2, 2013
- 63
- 7
Jamani yamenikuta,baada ya si mrefu nilibandika ombi jfm la kutaka mchumba,kweli nikafanikiwa,baada ya kuchati muda mrefu,tukaona it's bora 2meet ana kwa ana,kweli tukaridhiana 2b 2gether,siku ya kwanza tuliamua twende guest,aise! Mdada anajua mapenzi alinipagawisha sana,siku ile nilimgiga bao 7,lakini yeye alihitaj 10,penz likakolea mdada akapagawa kwengu,sasa chahajabu mdada hataki tena bao 3-7,anataka bao 10-12,na anasema nisipo fika hapo atakunywa sumu,jamani mwenzenu yamenikuta naomba mawazo yenu,sina raha,mdada muda wote anataka penz 2,atakazin huwa nachelewa....