Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana bwana mdogo ndio amebalehe hivi karibuni, maana anavyohangaika ni balaa.kisha akaendelea hiviiiiiiii
https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/411321-natafuta-mchumba-b.html?highlight=
sasa leo kaja kiivi.
Eee bana eeh.. sio kama unataka tu kutuvunja mbavu?Jamani yamenikuta,baada ya si mrefu nilibandika ombi jfm la kutaka mchumba,kweli nikafanikiwa,baada ya kuchati muda mrefu,tukaona it's bora 2meet ana kwa ana,kweli tukaridhiana 2b 2gether,siku ya kwanza tuliamua twende guest,aise! Mdada anajua mapenzi alinipagawisha sana,siku ile nilimgiga bao 7,lakini yeye alihitaj 10,penz likakolea mdada akapagawa kwengu,sasa chahajabu mdada hataki tena bao 3-7,anataka bao 10-12,na anasema nisipo fika hapo atakunywa sumu,jamani mwenzenu yamenikuta naomba mawazo yenu,sina raha,mdada muda wote anataka penz 2,atakazin huwa nachelewa....