HUYU mdada JINI OR SHETANI.....

Joined
Mar 2, 2013
Posts
63
Reaction score
7
Jamani yamenikuta,baada ya si mrefu nilibandika ombi jfm la kutaka mchumba,kweli nikafanikiwa,baada ya kuchati muda mrefu,tukaona it's bora 2meet ana kwa ana,kweli tukaridhiana 2b 2gether,siku ya kwanza tuliamua twende guest,aise! Mdada anajua mapenzi alinipagawisha sana,siku ile nilimgiga bao 7,lakini yeye alihitaj 10,penz likakolea mdada akapagawa kwengu,sasa chahajabu mdada hataki tena bao 3-7,anataka bao 10-12,na anasema nisipo fika hapo atakunywa sumu,jamani mwenzenu yamenikuta naomba mawazo yenu,sina raha,mdada muda wote anataka penz 2,atakazin huwa nachelewa....
 

Tatizo na wewe mwenyewe ni mtata (au jini labda!).
Kutokana na mtiririko (chronology) wa stori yako hapo juu, ina maana uliingia humu JF zamani sana. Sasa hii hapa chini kwenye bluu imekaaje? Au na wewe ni jini pia?

Join Date : 2nd March 2013
Posts : 10
Rep Power : 303


Likes Received1
Likes Given0
 
ukishindwa anakugeuzia kibao wewe... kitumbua chako kinalliwa ma 15!!pambana..
 
Muongo wahed! we, kwendaaaaaaa.

Tafuta wahuni na watoto wenzio uwapigie mastori yenu ya kitoto hayo
 

kweli huyo mchumba wa JFM ni noma.
 

Kwanza alikuwa anatafuta mgegedo na sio mchumba..Atavuna alichopanda
 
kila siku 15 lazima utaishiwa damu na maji mwilini nakupa mwez mmoja tu
 
Acha akumalize na akunyonye damu kabsa. Wewe si ulitaka wa kumgegeda? Atakugegeda wewe kama usipomtimizia!!
 

kudanganya inahitaji muda hasa kama hukupitia critical thinking course! kwa upeop wake alidhani ameweza kutunga story iliyotulia kumbe ni 60.6%
 
Mkolokotiatanas...
Jamana umekuja kubandika picha yako na ukitaka watu wa tag na ku share,
Leo una jini.
Haya piganeni mabao 12 huku mkijiburudisha na hawa wenzenu


 
Last edited by a moderator:
Join Date : 2nd March 2013

Posts : 13
Rep Power : 303
Likes Received : 1
Likes Given : 0


mlikutana lini na kwa ID ipi?

hatuzifagilii hizi new IDs humu love connect!!!!!!!!!!
 
Na bado, kesho atakuambia anataka goli 15
Mnashindana marathon na huyo unaemwita mchumba
 
siku akikugegeda wewe ndio utajua ...ila usisahau kuja kutuambia hiyo siku ilikuaje
 
kudanganya inahitaji muda hasa kama hukupitia critical thinking course! kwa upeop wake alidhani ame
weza kutunga story iliyotulia kumbe ni 60.6%
hiyo ziro yako uatuletea sisi we ndie ulijibu mtihani kwa mistari ya bongo fleva kadanganye watoto wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…