Huyu mdada na mambo yake; simtaki tena

Wewe ni handsome mzee au nini mbona wanawake wanakuganda sasa naenda kusema nyumbani kwa mama haiwezekani kila siku kaka anatoa nyuzi mpya kuhusiana na michepuko
Hizi changamoto zinatokea hapa duniani mkuu
 
Mbona unavyo vigezo vyote vya kulogwa mkuu,

unae yule, unae huyu hapo tayari unakuwa umekidhi vigezo vyote vya kurogwa. Na hupaswi kumlaumu mtu jilaumu mwenyewe.
Nataka nibaki njia kuu mkuu; namna ya kuachana nao ndio changamoto; usipopiga simu, utapigiwa.
 
Hakuna cha mganga wala nini kuna mtu atakuwa anampa ubuyu uyo kamweka infomer wa kumpa habar zako kuwa makini sana
 
Subiri Kurogwa au Mambo Yako Kuharibikiwa Huko mbeleni. Mnapenda Sana Wanawake na Kutembea Hovyo hovyo na Kila Mwanamke . Mnafikia Hatua Mnaingia Maagano na Majini
 
Huyo uliekua naye ni huyohuyo anaekuuliza.
Mwambie tulikua wote wala hukuota basi.
 
Usiende kuonana nae Kuna mtego.... Na usijaribu kulala nae utajuta
 
Hahahaaa! Humu ndani Kuna utoto sana.

Huyo anapewa umbea na mtu wa karibu yako, ila taarifa ya umbea haikukamilika, ndio maana kajichanganya.. Sasa unakurupuka kuwaza uchawi [emoji23][emoji23]
Kuna mtu anakujua na anamjua huyo demu wako, aliwaona club ndio kampa taarifa.
 
Mpaka hapo hujajua kuwa huyo demu kavujisha mkanda mwenyewe?

Ukipata ukimwi utuambie pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…