Huyu mdada nimueleweje?

We nawe kavu, unamuahidi mtoto wa watu kuwa utamcheki halafu haumcheki, halafu ukikutana nae unataka akushobokeee,we ndezi nn,una fikiri nae taahira hajiulizi eeh?
 
Aina hii ya utongozaji mtaishia kula machangudoa sugu.
Unapewa namba na unaanza kutongoza same day?
Kwa kawaida mimi namuwekea demu mazingira ajae mwenyewe, kinachofuata ni kutafunana tu.
Duuuh..kwa hapa nlipofika vp kweli naweza kumuweka sawa huyu mtoto
 
Mshawishi kutoka nae out alaf utengeneze mazingira ya yeye kukichukulia kawaida na kuwa huru kwako hapo utajua mbivu na mbichi
 
Hawezi kukumbia hakutaki anakupigia mahesabu unamuhitaji kiasi gani akupige mzinga kulingana kiasi unachomthamini then ukimpa aangalie jinsi ya kuendelea kukupiga hadi ukome kumfuatilia.[emoji23]
 

Tafuta mwingine hapo hapo mnapofanya mazoezi. Awe mkali kumzidi hata kama huna mzuka naye jaribu tu kuwa naye karibu muongozane mara kadhaa kwenda mazoezini na kurudi.

Hakikisha huyu unayemfukuzia anaona mnavyoingia na kutoka wote. Pia umkaushie kwa muda.

Utanisimulia baadae matokeo
 
Kwahio hayo ndio mnayofanya mkiwa jeshini huko!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kamuona ndezi tu au sio!

Hii michezo ya mapenzi ukiwa Amateur ina namna ya pekee ya kukufanya kituko mbele za watu!

Jamaa hajui kuwa demu asipopokea simu zako ni kuwa anapokea za mwenzako ila kwako hayuko interested! Solutiona tafta pisi ingine inayokuelewa usongeshe nayo life
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…