Huyu mdada nimueleweje?

Huyu mdada nimueleweje?

Unauliza kakuonaje? Si kakuona boya jamani.

Nawe hayo majibu anayokupa unayaamini kabisa kuwa yuko busy hapokei simu, au kuwa humsumbui na masimu yako hayo ya saa 5 usiku?

Ila mwana, we mtu hajakukubali ndio kwnza unatupia voko inakuwaje unampigia simu usiku saa 5?
 
Back
Top Bottom