Huyu mdada nimueleweje?

Mwelimishe tu aachane na habari za kumsaundisha mtu halafu anasubili ajibiwe kama kakubaliwa au laaa
Yes demu anamuenjoy mshikaji anamuona anatumia primitive ways za kuomba jibu lake aambiwe yes au no.
Ni staili za kizamani sana
 
Hawezi sema anaona aibu ila ana mtu ambaye anampenda by 100% kwa sasa
Huu ndio ukweli wenyewe sasa kwa vile kijana bado hajakuwa akimtaka demu anaamisha mawazo yake yote kumuwazia demu.
Wazoefu kama sisi demu kama huyo unamchombeza kidogo baadae unapotezea ukimuona tena unatupia vijineno kidogo ukiondoka unamfuta kichwani kisha unakuja kumnasa mbele kwa mbele huko siku wakigombana na bwana wake
 
Sawa sawa mkuu
 
"Una macho lakini hauoni"
-van damme-
 
Mke muda na umuulize kabisa ' nikupe muda' wa nafikiri nilichokueleza? Hakujui na kabla ya kuchukua maamuzi magumu anajaribu kukujua, pengine ndio maana anakuangalia sana.
 
Hahahahah we kwani ukaribu lazma upige simu mjomba? Huyo simu zako hazitaki deal nae ana kwa ana ili akuchane live!

Mie kwa level zangu demu akinletea huo utoto namkacha tu sitakagi upuuzi wa kuzungushana [emoji28]
Hapo sawa mzee, una akili iliyosimama.
 
Mke muda na umuulize kabisa ' nikupe muda' wa nafikiri nilichokueleza? Hakujui na kabla ya kuchukua maamuzi magumu anajaribu kukujua, pengine ndio maana anakuangalia sana.
Hili linaweza kuwa kweli mkuu
 
Sasa endelea kuhudhuria uwanjan
 
Huyo hakupendi na inawezekana ana msela wake ambae wanapendana, so anaona haina maana ya kumcheat ili awe na wewe mtu ambae hana interest na wewe! Mpotezee, mwache aende siyo lazima kila mwanamke unaemtaka mpaka umpate.

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona anipi jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…