Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Wengi dini hawaijui, sema wanaitumia kama kichaka cha kufanya uchawi waoNa kiarabu chenyewe hakieleweki kabisa wanachanganya mambo mengi sana ya kishirikina
Ukimwambia asome quran hawezi na wengi kawajui