Huyu Mganga alipitaje pale JKNIA?

Sema waislamu wetu huku bongo wana mambo yao ya ajabu kabisa akija muislam mgeni toka kwingine lazima ashangae,,,wengi wanaendekeza ushirikina na kuna mambo wanalazimisha ila hayapo kabisa kwenye dini
Hata huko kwao wapo waislamu wachawi wanaotumia dini vibaya na kugeuza quran kufanyia uchawi wao na Allah amewaonya ni kama kina wachungaji wenu wa mchongo kina mwamposa
 
Hapo kakutana na mwenye dini
Anamtoa nishai

Ova
Vibaya sana
Tena jamaa msataarabu sana na kila wakati anamuambia hii sio Quran
Kuna mchoro jamaa kachora nusu mwili umekatwa akamwambia hii ni kutaka kumuuwa kabisa mtu?
Yaani mswahili hata neno kabaki kuzubaa tu

Sijui anaenda mroga nani huko
 
🀣
 
Mama kafungua nchi huoni hata wachawi wanaenda kufanya uganguzi abroad 🀣
 
Yani wao kitu kikiwa kwenye kiarabu tu wanaunganisha ni dini,,,,,kuna mambo mengine ni uchawi ila kwakua wanaandika kwa kiarabu basi wao wanasema tu ni dini
Unaona mwarabu anamkataa jamaa hapo. Anamwambia hiyo sio Qur an.
 
Yani wao kitu kikiwa kwenye kiarabu tu wanaunganisha ni dini,,,,,kuna mambo mengine ni uchawi ila kwakua wanaandika kwa kiarabu basi wao wanasema tu ni dini
Hv umeangalia hy video.? Huoni kuna mambo ya Allah hapo.? Nyie magaidi hamjawahi kuwa na akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…