Huyu Mghana kuendelea kubakia nchini Ni Aibu kwa Taifa

Walio karibu nawe wawe wangalifu usije ukajinyonga maana sio kwa hasira hizo @ msinifokee
 
Subirini tutawajibu uwanjani,
Morrison alikosana na Yanga sio Simba , msitake kujenga Huruma hapa, Simba Simba tunamuitaji uwanjani na Ndo atakapo wajibu maswali yenu yote Utopolo fc
 
Walio karibu nawe wawe wangalifu usije ukajinyonga maana sio kwa hasira hizo @ msinifokee
Hasira wakati tuko naye mjengoni!? Sie Kama Watanzania Hatumtaki...
 
Hasira wakati tuko naye mjengoni!? Sie Kama Watanzania Hatumtaki...
Kuna sehemu Morison ameitukana Tanzania hadi msimtake,
Sema Yanga hamtaki.
Morison amekuja kwa ajili ya uwanjani sio kua mtanzania.
 
Kuna sehemu Morison ameitukana Tanzania hadi msimtake,
Sema Yanga hamtaki.
Morison amekuja kwa ajili ya uwanjani sio kua mtanzania.
Umeweka ushabiki mbele ya utanzania. Na Hilo Ni Kosa. Na Kwa Mawazo haya tunajenga Taifa la walamba viatu.. tunza heshima yako ina umuhimu mkubwa Sana..
 
TFF watamsafisha kwenye ripoti yao ndio maana mikia wamemsainisha leo
 
Utovu wa nidhamu wa Morson ulisababishwa na kukosewa adabu na viongozi wa Yanga. Wachezaji wote wapo hivyo. Kwa Simba ambayo haina longolongo huyu jamaa atapanda sana juu ya mpira, kunakitu kipya ataongeza pale Msimbazi.

Yanga endeleeni kusajili wachezaji legelege kama kina Zawadi Mauya. Mchezaji mwenye hasira za kizembe anaeshindwa kumkata mtama Ibrahim Ajib na kuishia kupepesuka mwenyewe kama ana Degedege.
 
Bahati nzuri tabia haijifichi ila itachelewa tu kuonekana.Acha tukae nae kwa mda hapa Simba.
 
Misbehaving zake zinatokana na njaa aliyokuwa nayo kule jangwani. Mpe chakula , mpe maji, mpe nyumba , mpe usafiri ,,, halafu uone kama ataonyesha tabia ya ajabu. Njaa ni kitu kibaya sana, wezi wengi wanatokana na njaa.

Morison abakie apewe chakula na hela za matumizi ndipo tumjaji kama ni mtovu wa nidhamu au la.
 
Tafadhari naomba uniambie nini au lini huyo BM alidharirisha taifa.
Mbona Unanifokea [emoji23][emoji1241]
Lazima aende akajifikiria akirudi abehave.[emoji23]
 
Mwaame naye kazingua, kwanini ampokee!? Mwaame sio mzalendo
Mwamedi kafanya hivyo kuikomoa Yanga. Naona Yanga wamesema Morrison alishasigna Yanga. Sasa hapo yatamkuta ya kina Thomas kipesa. Kuna interview moja nilimsikia Thomas Kipese akisema walisigna mara mbili kilichowakuta waliambiwa warudi Yanga au wafungiwe mwaka mmoja. Kipese alikubali kufungiwa ila Ken Mkapa akarudi Yanga.
 
Vipi kwa yondani,twite na singangano wewe ni mgenii na nchii hii??mwenye pesa ndio mla nyama kaka

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Maneno ya mfa maji.... BM ni mchezaji best. Acha aende.tulikosea kumng'ang'ania. Nlisema mapema aachwe. Sasa tunaaabishwa na tunabaki kijifariji.


 
Ukitunza heshima yako inatosha. Mbona sisi Yanga hatukumwacha BM mbona bado tunamtaka?simba wametupiga kwenye mshono.

Umeweka ushabiki mbele ya utanzania. Na Hilo Ni Kosa. Na Kwa Mawazo haya tunajenga Taifa la walamba viatu.. tunza heshima yako ina umuhimu mkubwa Sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…