Huyu Mhalifu ni kama alikuwa na jambo lake na Polisi. Raia hakuwa na tatizo nao

Huyu Mhalifu ni kama alikuwa na jambo lake na Polisi. Raia hakuwa na tatizo nao

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kuna jambo ambalo polisi ni kama hawataki kuligusia kabisa. Jamaa inaonekana wazi kabisa alikuwa na Tatizo na Polisi.

Huyu si gaidi. Ni mtu ambaye alikuwa anajua wa shughulike na watu gani. Na akawa yupo tayari kufa baada ya kutimiza yake nia.

Wananchi wengi wameonekana kuwa neutral katika hili kwa wale ambao nmepata zungumza nao. Hasa wakiongelea suala la baadhi ya polisi kuonea watu hasa hawa wa khaki na traffics.

Mimi nashauri pia ni wakati wa jesh la polisi kujiangalia kwa umakini. Yale wanayowatendea watu. Si wote wanamwachia Mungu. Wengine wanaamua kushirikiana na Shetani.
 
Wajitafakari kwakweli hasa hii ya kubanbikia watu kesi za uongo
 
Ukweli usiofichika wapora haki na watenda dhuluma wengi ni wale waliopewa dhamana ya kuhakiki haki inatendeka.

Sidhani kama watakubali waziwazi kwamba ni kweli ilikua ni dhuluma. Lazima watafute namna tu ya kuhakikisha wanaitengenezea Engo (angle)
 
Back
Top Bottom