Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Yani sijui naogopa nin, Yani nikijua Leo natimiza miaka Fulani uwiiiiiiiii nawaza ushangazi.Unaogopa nini wakati ndo unazidi kunata😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani sijui naogopa nin, Yani nikijua Leo natimiza miaka Fulani uwiiiiiiiii nawaza ushangazi.Unaogopa nini wakati ndo unazidi kunata😋
Nini we mwehu?Aaah hahaha weweeee weweeee nimeshakupata uuuumbwaaaaaa umbwaaa
Cc Chaliifrancisco Alexander The Great Deeboyfrexh reyzzap chalii wa ara GWAMAKA USWEGE
Wee umbwaa La Quica peleka hao mbusii malishoniNini we mwehu?
Umeandika uzi kivulana sana.Kwa ufupi haujui kuwasiliana na jamii nzima kwa kuzingatia umri/rika,wakati,eneo,kufahamiana,kuchagua maneno wala uwezo wa kuielewa lugha.Iko hivi. Huyu jamaa alikuwa mchizi wangu tokea utoto (maana tulicheza wote mpira na gololi mitaa fulani ya Gachustan/Arusha).
Kipindi tumeanza kwenda shule za boarding (baada ya la saba) ndio tukawa mbali kidogo ila zile likizo tunatembeleana maana tunaishi kitaa kimoja na familia zetu ni family friends.
Sasa wakati nimemaliza six na yeye kamaliza mimi chuo Dar yeye Moshi. Ila pia tukikutana likizo gudi tu. Kuna manzi mtaani alikuwa yupo sekondari nikawaga namkula (jamaa yeye alikuwa sio mtu wa mamanzi).
Kuna time nipo chuo Dar yeye akiwa Moshi anafika Chuga rahaka kuna jamaa yetu mwingine ana manzi wake ni rafiki wa hii kitu yangu sema huyu jamaa mwingine yeye alikuwa mtu wa kwena safina sana (kwenye maombi) wakati mimi ni muuni tu.
Sasa akamvuta huyu mshkaji (yule wa mwanzo) wakaanza kwenda nae na manzi wake (manzi wa huyu mjamaa mwingine). Kwakuwa yule manzi wangu alikuwa karibu na manzi wa jamaa basi nae wakamvua huko wakawa wanaenda wanenne. Muda yule mjamaa akiwa na manzi wake inatokea yule mchizi wangu (wa mwanzo) anabaki na manzi wangu mpaka wakaanzisha mahusiano.
Ubaya mchizi alikuaga ananiomba ipad apige picha halafu anapost facebook (miaka hiyo) so naziona na naona kuna ambazo mselaa (yule wa mwanzo) yupo na mrax wangu (manzi angu) nikawaleteaga cheche (noma) ila mselaa akaniambia manzi (yule mrex wangu) kamwelewa so sina chakufanya.
Nilipokua chuo nikapata mbishe (kazi) flani Dar so sikurudi Chugga (Arusha). Mjamaa akaendelea kuwa close na mamsii (manzi wangu). Ilifikia time mamsii akakata mguu (mawasiliano) na mimi na baada ya two years kumaliza unii (chuo) nikajasikia mjamaa amechumbia huyu mraksi (mamsi wangu).
Punde akamuoa asee. Niliumia kidesign (kimtindo/kiasi/kidogo) ila baadae nikasema potelea mbali.
Sasa shida ipo kuwa siku za usoni naonana na mjamaa namwambia "nilimgonganga mkeo zamani kishenzi mastyle yote" jamaa anamind kishenzi. (Simuambii kwakuwa mamamsi hawagongwi ila kwakufa alinifanyia unyambisi/umafia/unyamera).
Je hapa nani yupo sawa wakuu?
Wewe hukuwa muoaji bali ulitaka kupiga na kusepa acha wenzio wafurahie maishaPunde akamuoa asee. Niliumia kidesign (kimtindo/kiasi/kidogo) ila baadae nikasema potelea mbali.
😂😂😂😂mraxxxxKuna mtu kaelewa hii lugha iliyotumika kwenye hii thd?
Ndo nani?Wee umbwaa La Quica peleka hao mbusii malishoni